Lady Jaydee, malkia Bongofleva ‘mwenye dunia’ yake kimuziki KWA miaka mingi mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee ameachia nyimbo zilizogusa hisia za wengi kwa sauti yake ya kipekee na ujumbe mzito, na sasa ni mmoja wa wasanii wakubwa na wenye...
Vita ya clean sheet yamuibua Mgaboni KIPA wa TRA United raia wa Gabon, Jean-Noel Amonome, amesema licha ya kutoruhusu bao katika mechi tisa za Ligi Kuu Bara msimu huu kwa maana ya kufikisha (Clean Sheets tisa), ila, malengo yake ni...
Mbappe aangushiwa jumba bovu Madrid MAMBO magumu, ndivyo unavyoweza kusema! Nyota wa zamani wa Arsenal na Chelsea, Emmanuel Petit amemkosoa straika Kylian Mbappe akidai amepeleka ubinafsi ndani ya chumba cha kubadilishia nguo cha...
Varane awindwa Singida BS MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza mchakato wa kumfuatilia beki wa kati wa Police FC ya Rwanda, Mghana Issah Yakubu ‘Varane’, ili kuipata saini yake mapema, baada ya menejimenti ya nyota...
Wembanyama aongoza NBA 2026, Lebron akosekana KATIKA mpira wa kikapu, mjadala wa nani ni mchezaji bora zaidi duniani haujawahi kufika mwisho na mara nyingi kila zama huja na nyota wake lakini ni wachache sana wanaotawala mjadala huo kwa muda...
Guardiola: Hata tukishinda Arsenal, ubingwa bado mbali KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, ameeleza kuwa hata kama timu yake itashinda mechi muhimu dhidi ya Arsenal leo haitakuwa timu inayopaswa kupigiwa hesabu zaidi kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...
Frank Lampard aeleza furaha kuirejesha Coventry EPL KOCHA wa Coventry City, Frank Lampard, ameeleza kwa hisia furaha yake baada ya kuiongoza klabu hiyo kurejea kwenye Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25.
Carrick atia neno kuhusu dili la Rashford KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amesema hakuna uamuzi wowote uliofanyika katika klabu hiyo kuhusu mshambuliaji Marcus Rashford.
Palmer aikana Man United INAWEZEKANA hii ikawa habari njema kwa mashabiki wa Chelsea, kufuatia kiungo mshambuliaji wa matajiri hao wa London, Cole Palmer, kufichua kuwa hana mpango wowote wa kuondoka klabuni hapo huku...
Anthony Gordon atua katika anga za Bayern Munich BAYERN Munich imeonyesha nia ya dhati ya kumsajili winga wa Newcastle United na England, Anthony Gordon, 25, katika dirisha lijalo la kiangazi.