Pamba Jiji, Tanzania Prisons hakuna mbabe Kipa wa Pamba Jiji, Yona Amos, aliyeonyesha kiwango bora, alishinda tuzo ya Mchezaji Bora wa mechi hiyo.
Ishu ya Osimhen yafikia patamu STRAIKA wa Napoli, Victor Osimhen anadaiwa kuzikataa Chelsea na Arsenal na amepanga kusubiri hadi dakika ya mwisho ya dirisha hili la usajili ili kujiunga na Paris Saint-Germain.
Kocha Muya: Tunarudi tukiwa imara KUPATA pointi moja katika mechi tatu za mwisho, kumemfanya Kocha wa Fountain Gate, Mohammed Muya kujitafakari huku akisisitiza lazima wafanye jambo.
Osimhen, Gyokeres mezani Man United MANCHESTER United imeripotiwa kupewa ripoti kila wiki ya kuhusu hali ya mastraika Victor Osimhen na Viktor Gyokeres endapo kama watapatikana sokoni kwenye dirisha lijalo la usajili.
Kwa Arsenal Madrid ije tu MASHABIKI wa Arsenal wanaweza kuwa kwenye presha kubwa baada ya kufahamu kuna uwezekano wa kukwaruzana na Real Madrid kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya - lakini wala hawapaswi kuogopa.
Riise amtaka Isak Anfield MABOSI wa Liverpool wameshauriwa kufungua pochi kumsajili straika wa Newcastle United, Alexander Isak kwenda kuchukua mikoba ya Darwin Nunez ambaye hana maajabu tangu alipotua Anfield.
Bondia Mnemwa aomba msaada wa matibabu ili arudi ulingoni Bondia Mohammed Mnemwa ameomba msaada kwa Serikali, vyama vya mchezo wa ngumi pamoja na wadau kumsaidia kulipa gharama za matibabu anayopatiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Fenerbahce: Rashford? Hapana, hatumtaki BOSI wa Fenerbahce inayonolewa na Jose Mourinho, Acun Ilicali amesema tena kwa msisitizo hawana mpango wa kumsajili staa wa Manchester United, Marcus Rashford.
Ronaldo: Mwanangu hatukubali mimi na Messi NDO hivyo. Staa wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo amefichua mtoto wake Mateo, kuna mchezaji mmoja tu anayekumbali duniani ambaye sio yeye wala mpinzani wake wa muda mrefu Lionel Messi.
Carragher anasema Salah kapewa ofa JAMIE Carragher amefichua kwamba Liverpool tayari imeshampa ofa ya mkataba mpya Mohamed Salah.