Simbu arejea nchini, ataja siri ya kung’ara mfululizo Boston Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amerejea nchini akitokea Marekani alikokwenda kushiriki mbio za Boston Marathon, huku akisema siri ya kufanya vizuri inatokana na jitihada...
Chelsea duh! Tatizo ni hili, kocha mpya atajwa MCHAMBUZI na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester United, Gary Neville ameikosoa vikali bodi ya Chelsea kutokana na uamuzi wao wa kumfuta kazi Kocha Liam Rosenior...
Lamine hatarani kukosa Kombe la Dunia 2026 STAA wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Lamine Yamal huenda akashindwa kushiriki michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kupata majeraha yaliyosababishwa atolewe Uwanjani huku...
Mshauri wa Trump ataka Iran iondolewe Kombe la Dunia 2026 MSHAURI wa ngazi za juu wa Rais wa Marekani, Donald Trump ameripotiwa kuiomba FIFA kuiondoa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia na kuipa nafasi hiyo Italia kutokana na...
Man United yamaliza utata dili la Bruno MANCHESTER United imechukua hatua kuhakikisha inamaliza sintofahamu kuhusu mustakabali wa nahodha wao wa raia wa Ureno, Bruno Fernandes.
Rashford, Barcelona mambo yapo hivi BARCELONA inapambana kumbakisha mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 28, kwa mkopo msimu ujao badala ya kulipa ada ya Pauni 26 milioni inayohitajika ili...
Shinda mechi zako! Ubingwa EPL Arsenal, Man City upo hapa MCHEZAJI wa zamani wa Arsenal, Paul Merson amesema mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England bado ziko wazi na Washika mitutu hao wana nafasi licha ya kushuka kileleni baada ya Manchester City kushinda...
Leicester City: Hadithi ya mafanikio yageuka funzo la uongozi mbovu Mnamo Mei 2016, ulimwengu wa soka ulisimama. Leicester City, klabu ambayo msimu mmoja kabla ilikuwa inapambana kutoshuka daraja, ilitawazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League).
Burnley yaendeleza rekodi ya panda shuka Premier League KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Burnley usiku wa Aprili 22, 2026 kutoka kwa Manchester City, kimehitimisha safari ya timu hiyo kuendelea kuwepo ndani ya Premier msimu ujao, huku ikiungana na...
Hawa hapa mastaa 60 huru EPL KATIKA kipindi hiki cha mwisho wa msimu wa Ligi Kuu England ambapo Manchester City na Arsenal zibakabana koo kwenye mbio za ubingwa, klabu nyingi kwenye ligi hiyo pendwa duniani zinajiandaa kwa...