Kombe la Muungano larejea baada ya miaka 20 Hatimaye Kombe la Muungano limerejea tena nchini ikiwa imepita miaka 20 tangu kusimama kwa mashindano hayo mafupi yanayozijumuisha timu za Zanzibar na Tanzania Bara. Taarifa iliyolewa na...
Meja Jenerali Isamuhyo wawekwa taa, Ligi Kuu kupigwa usiku Zoezi la ufungaji taa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Dar es Salaam limekamilika jana Septemba 30, 2025.
Arteta: Mastaa wangu watatu wagonjwa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha wachezaji wake watatu kupata majeraha kwenye mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kwenye Ligi Kuu England, jana Jumapili, Oktoba 26.
Uefa yaifanyia uchunguzi Juventus MIAMBA ya soka ya Serie A, Juventus imebainisha Alhamisi iliyopita kwamba ipo kwenye uchunguzi mkali wa Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) kufuatia ripoti kwamba imekiuka kanuni za matumizi ya...
Watanzania waitwa kujaribu bahati Azam FC ikimsaka mrithi wa Popat Azam FC imetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nafasi ya Mtendaji Mkuu iliyoachwa wazi na Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat.
Mancini ajipeleka Man United kiaina KOCHA Roberto Mancini amewaambia marafiki zake anaweza kuwa chaguo la kushtua wengi la kutua Manchester United wakati itakapomfuta kazi Ruben Amorim.
Gwiji Liverpool anajua tatizo la Wirtz KIUNGO wa zamani wa Ligi Kuu England, Danny Murphy amefunguka anafahamu ni kitu gani kinachomfanya Florian Wirtz wa Liverpool ashindwe kufanya vizuri tangu aliponaswa kwa pesa nyingi kutokea...
Postecoglou afunguka kufukuzwa KOCHA wa Nottingham Forest, Ange Postecoglou amesema mashabiki wana haki kuzoea na kutaka afukuzwe sababu ndio wenye timu.
Kusah afichua ndoto ya kumuoa Ruby Msanii wa Bongo Fleva, Kusah amesema kuzaa na mwanamke haina maana ni lazima amuoe, baada ya kuulizwa endapo alikuwa na mipango ya kumuoa mpenzi wake wa zamani, Ruby kabla ya kuachana.
Kocha Chelsea ataka beki mwingine KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema timu hiyo inahitaji kusajili beki mpya wa kati baada ya kumpoteza Levi Colwill kwa majeraha makubwa ya goti.