Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8637 results for Mwandishi :

  1. Kombe la Muungano larejea baada ya miaka 20

    Hatimaye Kombe la Muungano limerejea tena nchini ikiwa imepita miaka 20 tangu kusimama kwa mashindano hayo mafupi yanayozijumuisha timu za Zanzibar na Tanzania Bara. Taarifa iliyolewa na...

  2. Meja Jenerali Isamuhyo wawekwa taa, Ligi Kuu kupigwa usiku

    Zoezi la ufungaji taa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Dar es Salaam limekamilika jana Septemba 30, 2025.

  3. Arteta: Mastaa wangu watatu wagonjwa

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha wachezaji wake watatu kupata majeraha kwenye mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kwenye Ligi Kuu England, jana Jumapili, Oktoba 26.

    ARTETA Pict
  4. Uefa yaifanyia uchunguzi Juventus

    MIAMBA ya soka ya Serie A, Juventus imebainisha Alhamisi iliyopita kwamba ipo kwenye uchunguzi mkali wa Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) kufuatia ripoti kwamba imekiuka kanuni za matumizi ya...

  5. Watanzania waitwa kujaribu bahati Azam FC ikimsaka mrithi wa Popat 

    Azam FC imetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nafasi ya Mtendaji Mkuu iliyoachwa wazi na Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat.

    POPAT Pict
  6. Mancini ajipeleka Man United kiaina

    KOCHA Roberto Mancini amewaambia marafiki zake anaweza kuwa chaguo la kushtua wengi la kutua Manchester United wakati itakapomfuta kazi Ruben Amorim.

  7. Gwiji Liverpool anajua tatizo la Wirtz

    KIUNGO wa zamani wa Ligi Kuu England, Danny Murphy amefunguka anafahamu ni kitu gani kinachomfanya Florian Wirtz wa Liverpool ashindwe kufanya vizuri tangu aliponaswa kwa pesa nyingi kutokea...

    WITZ Pict
  8. Postecoglou afunguka kufukuzwa

    KOCHA wa Nottingham Forest, Ange Postecoglou amesema mashabiki wana haki kuzoea na kutaka afukuzwe sababu ndio wenye timu.

    BIG Pict
  9. Kusah afichua ndoto ya kumuoa Ruby

    Msanii wa Bongo Fleva, Kusah amesema kuzaa na mwanamke haina maana ni lazima amuoe, baada ya kuulizwa endapo alikuwa na mipango ya kumuoa mpenzi wake wa zamani, Ruby kabla ya kuachana.

    KUSAH
  10. Kocha Chelsea ataka beki mwingine

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema timu hiyo inahitaji kusajili beki mpya wa kati baada ya kumpoteza Levi Colwill kwa majeraha makubwa ya goti.

    ENZO Pict
Previous

Page 74 of 864

Next