Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

971 results for Oscar Oscar :

  1. Hizi dalili zilizojitokeza Yanga siyo nzuri

    MSAFARA wa timu ya Yanga, umeondoka jioni ya jana kwenda mjini Algiers, Algeria kwa ajili ya pambano lao la marudiano la michuano la Kombe la Shirikisho Afrika inayosimamiwa na kuendeshwa na...

  2. Mzambia Yanga afanya maamuzi magumu

    KIKOSI cha Yanga kiliondoka nchini jioni ya jana Alhamisi kuelekea Algeria kwa ajili ya pambano lao la marudiano la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya MC Alger, lakini Kocha Mkuu wake, George...

  3. Manji awatia kiburi Yanga

    KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Yanga ikiwa ni cha kwanza kutoka kwa Simba tangu Emmanuel Okwi alipowalaza mapema Machi 8, 2015 ikiwa ni miaka miwili kasoro siku 17 tu, kimewafanya waliweke...

  4. Yanga yapaa, Manji bado

    WAKATI msafara wa Yanga wenye watu 30 wakiwamo wachezaji 20 ukipaa asubuhi ya leo kuelekea Comoro, huku nyuma Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji bado alikuwa akishikiliwa na Polisi katika...

  5. Wanne wapigwa benchi kubwa Yanga

    KOCHA wa Yanga, George Lwandamina si mtu wa mchezo mchezo, amewatoa nishai baadhi ya mastaa wa timu hiyo kwa kuwachomesha mahindi nje tangu atue Yanga miezi miwili iliyopita.

  6. Kumbe Mkata Umeme anawainjoi tu

    KIUNGO Mzambia, Justine Zulu maarufu kama Mkata Umeme amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka benchi kujihakikishia nafasi katika kikosi cha kwanza cha Yanga huku akiwaacha mastaa wengine wanane...

  7. Somo la Twite litadumu sana

    MWANADAMU anaishi mara moja tu. Mbuyu Twite yupo mmoja tu na ameishi mara moja pale Yanga na sasa imefikia wakati wa kumpa mkono wa kwaheri. Hakuwahi kupendwa kama Haruna Niyonzima lakini umuhimu...

  8. Nyamagana sasa ng’aring’ari

    UWANJA wa Nyamagana una historia ndefu katika soka la Tanzania, kwa wanaokumbuka mwaka 1974 lilipigwa pambano la kihistoria la watani wa jadi Simba na Yanga na Vijana wa Jangwani kushinda mabao 2-1.

  9. Pacman usimchezee kabisa

    WIKIE NDI iliyo pita bondia mkongwe Manny ‘Pacman’ Pacquiao aliyetangaza kustaafu ngumi Aprili mwaka huu, alikatiza safari yake ya kustaafu na kurejea ulingoni kwa kishindo, akamchapa Jersie...

  10. Chirwa sasa anateleza tu

    STRAIKA aliyekuwa akipondwa kwa kushindwa kufunga mabao Yanga, Obrey Chirwa kwa sasa anateleza tu, jana Jumatano ametupia tena bao wakati timu yake ikipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Toto...

Previous

Page 72 of 98

Next