Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8635 results for Mwandishi :

  1. Yassin amtibulia Gadiel kwa Singida

    SIMBA ilikuwa na mipango ya kumtema Gadiel Michael ili imvute, beki wa kushoto wa Polisi Tanzania, Yahya Mbegu, lakini dili hilo limekufa. Wameamua kumbakisha kikosini.

  2. Simba yafungiwa kusajili

    Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA) limeifungia kusajili Simba SC hadi ilipe madai ya klabu ya Teungueth ya Senagal kuhusu dili la mchezaji Pape Sakho. Barua ya Shirikisho la Soka nchini...

  3. Taa zasimamisha mechi ya Stars, Uganda

    Mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Uganda umesimama kwa muda kufuatia taa za uwanjani kupungua mwanga wakati mchezo ukiendelea. Dakika ya 37 mwamuzi wa mchezo Ibrahim Traore alisimamisha mchezo huo...

  4. Tisa kusepa Yanga Princess

    MSIMU ujao huenda Yanga Princess ikakosa huduma ya wachezaji wake tisa walioitumikia misimu kadhaa nyuma. Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zinaeleza ripoti ya kocha wa kikosi...

  5. Tanesco yainyuka Polisi 2-0

    Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoa wa Geita leo Januari 23, 2020 liliandaa Bonanza lililofanyika katika viwanja wa Kharumwa ambalo limejumuisha michezo mbalimbali. Katika mchezo wa mpira...

  6. Wanalizombe kimewakuta huko

    Majimaji iliwahi kushiriki ligi kuu na sasa imeshushwa daraja hadi ngazi ya Mkoa na itakosekana uwanjani kwa misimu miwili kutokana na adhabu hiyo.

  7. Kama vipi tukutane kwa Mkapa, Berkane yatibua mambo

    SIMBA ilipoteza mechi ya kwanza kwenye mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kunyukwa na RS Berkane kwa mabao 2-0, lakini ikajifariji kwa kusema itamaliza kazi Kwa...

  8. Yanga yamtambulisha mrithi wa Nabi

    KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Miguel Angel Gamondi kuinoa timu hiyo msimu ujao akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba wake. Kocha huyo raia wa Argentina...

  9. Balama: Mukoko anajua sana

    BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu, kiungo wa Yanga, Balama Mapinduzi amemtaja Mukoko Tonombe kumvutia ndani ya kikosi hicho kwa namna anavyowajibika kusaidiana na mabeki kuhakikisha...

  10. Fei Toto, Yanga kimeeleweka

    MWANASPOTI linajua kabla ya jua kuzama leo Jumatano Juni 7, Feisal Salum 'Fei Toto' atatambulishwa rasmi ndani ya Azam. Licha ya Azam kufanya siri, lakini Mwanaspoti linajua klabu hiyo...

Previous

Page 72 of 864

Next