Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

970 results for Oscar Oscar :

  1. Dabusi Fc yatwaa ubingwa Gidabuday Cup

    Timu ya Dabusi imetwaa ubingwa wa mashindano ya Gidabuday Cup kwa kuichapa Nangwa kwa mabao 3-2 katika fainali iliyochezwa kwenye Uwanja wa Nangwa VTC Wilayani Hanang’.

  2. Oscar Joshua aeleza machungu ya kukaa nyumbani

    ALIYEKUWA beki wa Yanga, Oscar Joshua ametaja tofauti anayoiona kati ya kukaa nyumbani na kucheza ligi kuwa ni kushindwa kuwa kwenye ushindani wa juu, licha ya kufanya mazoezi kama kawaida...

  3. Klabu za England zasubiri kwa hamau dirisha la usajili Januari

    Klabu za England, zinasubiri kwa hamu kusajili wachezaji waliowakosakosa kwenye usajili wa kiangazi msimu huu kuwaingiza vikosini kupitia dirisha dogo la Januari mwakani.

  4. Rambo athibitisha ujio wa Creed 2

    Mcheza filamu Sylvester Stallone “Rambo” amethibisha ujio wa filamu ya Creed sehemu ya pili katika msimu wa kwanza alishiriki yeye pamoja na Michael B Jordan.

  5. Mabondia wafunguka; Mayweather vs McGregor

    ALFAJIRI ya Jumapili hii litapigwa pambano la masumbwi linalotajwa kuwa ni la karne wakati bondia Floyd Mayweather ambaye kambi yake inajulikana kwa jina la Money Team atakapozipiga na Conor...

  6. Hesabu mpya za Yanga

    JUMAMOSI Ligi Kuu inaanza Bongo. Hata hivyo, bado wasiwasi wa mashabiki upo kwa Yanga kutetea ubingwa wao huku kura nyingi zikiangukia kwa Simba na Singida United.

  7. Cannavaro pekee aliyekuwa uwanjani Yanga ikipigwa mkono na Simba 2012

    Kuelekea katika mchezo wa Ngao ya Jamii utakao chezwa Agosti 23, Uwanja wa Taifa ni Nadir Haroub ‘Cannavaro’ pekee aliyesalia katika kikosi cha Yanga kilichofungwa na Simba mabao 5-0, Mei 6...

  8. Oscar Joshua wala hana kinyongo

    OSCAR Joshua ni miongoni mwa wachezaji wa muda mrefu waliokuwa ndani ya Yanga lakini ameachwa katika kikosi cha msimu ujao. Hata hivyo mwenyewe amesema wala hana kinyongo kwa sababu maisha...

  9. Singida United yawakana Dida, Barthez wa Yanga

    Klabu ya Singida United, imesema haina mpango wa kuwasajili wachezaji watatu kutoka Yanga kama inavyodaiwa.

  10. Njombe ikiwadaka hawa, siyo mchezo

    Kiungo wa zamani wa African Lyon, Awadh Salum yupo mbioni kutua Njombe Mji baada ya uongozi wa timu hiyo kuonyesha nia naye kwa kumtumia pesa ya nauli kwenda kufanya mazungumzo.

Previous

Page 70 of 97

Next