#WC2018: Wanaume 736 wa Kombe la Dunia 2018 hawa hapa Costa. Ziada: Kuna vitu vichache kocha Tite amefanya kabla ya kutangaza kikosi cha mwisho. COLOMBIA Makipa: David Ospina, Camilo Vargas na Jose Fernando Cuadrado. Mabeki: Cristian Zapata, Davinson...
Huu unaweza kuwa mwaka mzuri kwa Brazil Hakika hakuna sherehe kubwa zaidi ya soka duniani kama fainali hizi. Ndani ya wiki mbili macho yote ya mashabiki wa soka ulimwenguni yatakuwa Urusi. Mwaka huu kuna timu nyingi zenye uwezo wa...
Simiyu aisaka rekodi London 7s Saachache kabla Kenya haijajitosa uwanjani kukabiliana na Marekani katika mchezo wao wa kwanza wa mashindano ya London 7s, Kocha Innocent Simiyu ameapa kuandikisha historia Jijini London.
Kwa wachezaji hawa unakosaje Kombe la Dunia Kombe la Dunia limebaki siku chache kabla ya kuanza kutimua vumbi, na tayari timu zote 32 zimeshatangaza vikosi vyao kwa ajili ya mashindano hayo.
DSTV kukitangaza Kiswahili Kombe la Dunia Wanaotarajiwa kuhusika kwa utangazaji na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili ni Eddo Kumwembe, Oscar Oscar ‘Mzee wa Kaliua’ , Ibrahim Masoud ‘Maestro’, Ephraim Kibonde, Maulid Kitenge na...
#WC2018: Makocha wa timu za Taifa wanaolipwa pesa ndefu. HUKO Russia ni lazima kitanuka mwanangu kwani, ukiachilia mbali vita ya mastaa kuonyeshana kazi ndani na nje ya uwanja, pia kuna makocha ambao wanatamba kinoma.
Maisha ya Salah Stamford Bridge yalivyokwenda kombo STAA wa Liverpool, Mohamed Salah jana Jumapili alirejea katika uwanja wake wa nyumbani, Stamford Bridge akiwa ni Mwanasoka Bora wa England msimu huu huku akisubiri kutwaa kiatu cha dhahabu na...
Hongera vijana Serengeti Boys, lakini safari ndefu inawasubiri WIKIENDI iliyomalizikailikuwa ya shangwekwasoka la Tanzania baadayatimuyaTaifayavijanachiniyamiaka 17, Serengeti Boys kutwaa ubingwa wa AfrikaMashariki na Kati (CECAFA).