Man City, Maresca ni suala la muda Manchester City wanakaribia kumteua aliyekuwa kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, kuwa meneja wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kufikia makubaliano ya fidia na Chelsea.
Messi, Mbappe, Haaland wanakabika hivi KOMBE la Dunia huwa la kuvutia zaidi pale mastaa wakubwa wanapoonyesha uwezo wao, washambuliaji wanne bora duniani walionyesho ubora wao katika mashindano hayo.
Kocha Ufaransa afiwa, kuondoka kambini kwa muda Kambi ya timu ya Taifa ya Ufaransa imepata pigo baada ya kocha wake mkuu Didier Deschamps kufiwa na mama yake mzazi Marie Borda.
Dembele kuikwepa laana ya Ballon d’Or kombe la dunia? MSHAMBULIAJI Ousmane Dembele anatazamwa kama ataweza kuvunja mwiko wa kile kinachoitwa ‘laana ya Ballon d’Or’ ya miaka 70, ambayo hata mastaa kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo walishindwa...
Liverpool yakataa ofa ya Inter Milan Liverpool imekataa ofa ya maneno yenye thamani ya euro25 milioni 25 kutoka Inter Milan kwa ajili ya kiungo Curtis Jones.
Real Madrid yaruka kimanga kwa Olise Real Madrid wamekanusha taarifa zilizokuwa zikiwahusisha na winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise.
Norway yasafiri na tani moja ya vyakula vyao Kombe la Dunia Timu ya Taifa ya soka ya Norway haikuleta tu kikosi cha wachezaji na mbinu za uwanjani kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazoendelea sasa nchini Marekani, Canada, na Mexico; wameleta na...
Morocco ilivyochezesha diaspora dhidi ya Brazil Timu ya taifa ya Morocco (Atlas Lions) imeandika rekodi ya kipekee na ya kihistoria katika fainali za Kombe la Dunia 2026, baada ya kuwa ya kwanza duniani kushusha kikosi cha kwanza (starting...
Aliyopitia Suarez Uruguay ikilazimishwa sare na Cape Verde Nyota wa zamani wa Uruguay, Luis Suarez alijikuta katika wakati mgumu akiitazama timu yake ya taifa ikicheza dhidi ya Cape Verde.
Beckham amnasa Casemiro Miami KIUNGO wa kimataifa wa Brazil, Carlos Henrique Casimiro maarufu Casemiro anatarajiwa kujiunga na Inter Miami ambayo mmoja wa wamiliki wake ni staa wa zamani wa England na Manchester United, David...