Toni Kroos kufuata nyayo za Zidane Real Madrid KIUNGO gwiji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani, Toni Kroos, anaripotiwa kuwa mbioni kurejea kwa hisia ndani ya klabu ya Real Madrid ikiwa ni miezi michache tangu atangaze kustaafu soka.
Simeone, Ben White ‘wazinguana’, kisa nembo ya Atletico Madrid KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amegonga vichwa vya habari baada ya kukabiliana vikali na beki wa Arsenal, Ben White, kufuatia sare ya 1-1 katika mechi ya mkondo wa kwanza ya nusu...
UEFA kumbakiza Bruno Old Trafford MANCHESTER United United inaamini kufuzu kwao kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya kutatosha kumshawishi nyota wao Bruno Fernandes kuendelea kubaki katika viunga vya Old Trafford na kuondoa uwezekano...
Vita ya Julian Alvarez, Barcelona yapigwa presha na Arsenal, PSG BARCELONA bado inaendelea kusukuma kwa nguvu dili la kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez mwenye umri wa miaka 26.
Benfica: Mourinho haendi kokote MABOSI wa Benfica wameendelea kuwa na imani kubwa kuwa kocha wao Jose Mourinho atasalia katika kikosi chao msimu ujao licha ya taarifa zinazodai anaweza kutimkia Real Madrid.
Kisa Rosenior, Scholes aiponda Chelsea KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes ameishambulia vikali bodi ya Chelsea akidai ilikuwa ‘kichaa’ kumteua Liam Rosenior kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.
Mikel Obi ampigia chapuo Filipe Luís Chelsea, amkataa Fabregas NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Mikel Obi, ameushauri uongozi wa klabu ya Chelsea kumteua Filipe Luís, kuwa kocha mpya wa timu hiyo ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Liam...
UEFA yafafanua sababu ya Arsenal kunyimwa penalti SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA), limetoa ufafanuzi kuhusu tukio la utata lililopelekea Arsenal kunyimwa penalti katika mechi ya nusu fainali ya mkondo wa kwanza ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya...
Ushauri wa Gerrard kwa Arteta, akimsifia Declan Rice GWIJI wa Liverpool, Steven Gerrard, amemshauri kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, kuanza na Eberechi Eze na Bukayo Saka kwenye mechi ya mkondo wa pili wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...