Lookman agomea mazoezi Atalanta WINGA, Ademola Lookman ameripotiwa kugomea mazoezi huko Atalanta ikiwa ni harakati zake za kulazimisha uhamisho wa kuachana na timu hiyo.
Mourinho kubaki Uturuki, azikataa Celtic, Rangers KOCHA wa Fenerbanhce, Jose Mourinho amekataa kuondoa uwezekano wa kwenda Rangers inayoshiriki Ligi Kuu ya Scottland.
Madonna atuma ombi kwa Papa Leo XIV Mkali wa Pop kutoka Marekani, Madonna amemuomba Papa Leo XIV, akimsihi kwenda Gaza ili kuwasaidia watoto wanaoteseka kutokana na mgogoro unaoendelea.
CHAN 2024: CAF yazuia wapigaji Uganda WAKATI timu ya taifa ya Uganda Cranes ikijiandaa kwa mechi ya nusu fainali ya CHAN 2024 dhidi ya Senegal, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limechukua hatua ya kupunguza idadi ya tiketi ambazo...
Hamdani Said kuandika historia Kombe la Dunia Mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania, Hamdani Said ameteuliwa ni miongoni mwa marefa 12 wa Afrika walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwezi...
Mama wa Miss Universe 2025 atoa somo kwa wazazi LULU Makoi, Mama mzazi wa mshindi wa Taji la Miss Universe Tanzania 2025, Naisae Yona, ametoa wito kwa wazazi kusapoti talanta za watoto wao badala ya kuzikandamiza.
Pep Guardiola kukaa pembeni Etihad KOCHA Pep Guardiola amekiri atang’atuka kwenye kazi yake ya ukocha wakati mkataba wake Manchester City utakapofika tamati.
Mbappe afunga friikiki, mashabiki wakataa SUPASTAA, Kylian Mbappe amefunga bao lake la kwanza kwa mpira wa adhabu, lakini mashabiki wanambishia kwamba hilo halikuwa bao la friikiki.
Arsenal yampa Lewis-Skelly dili ARSENAL imejiondoa kwenye presha ya kumpoteza staa wao Myles Lewis-Skelly, ambaye alikuwa kwenye rada za Real Madrid baada ya kumsainisha dili jipya la kumbakiza Emirates.
Twiga Stars yaaga WAFCON ikipoteza 4-1 dhidi ya Ghana Twiga Stars imeondolewa kwenye mashindano ya WAFCON 2024 yanayoendelea huko Morocco baada ya kupoteza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Ghana kwa mabao 4-1.