Bosi Brighton afichua ishu ya Baleba United BOSI wa Brighton, Tony Bloom amefichua kwamba aliwaambia Manchester United hakuna namna yoyote watamuuza kiungo wao Carlos Baleba.
Vicario aiokoa Spurs kwa Monaco Kipa wa Tottenham Hotspur, Guglielmo Vicario, usiku wa Oktoba 22, 2025 alifanya kazi kubwa kwa kuizuia Monaco, huku kikosi cha Thomas Frank kikinusurika na kupata pointi moja ya Ligi ya Mabingwa.
Delap atibua hesabu Chelsea STRAIKA Liam Delap atakuwa nje ya uwanja kwa wiki 10 hadi 12 baada ya kupatwa na maumivu ya misuli ya paj
Nani Bruno? Wala hawasikii KIUNGO fundi wa boli, Bruno Fernandes ataiongoza Manchester United, Jumapili hii kwenye kipute cha Manchester derby na kusema tena kwa msisitizo, hawezi kubadili staili yake ya uchezaji licha ya...
Mobetto na Rayvanny wahojiwa, waachiwa Video ya msanii Shaban Mwakyusa maarufu Rayvanny na Paula mitandaoni yaibua mapya. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mkali huyo wa wimbo wa Kiuno na Teamo na mwanamitindo Hamisa Mobetto kuhojiwa...
Jux afunga ndoa na Priscilla Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Jux amefunga ndoa na mpenzi wake mfanyabiashara kutoka Nigeria Priscilla leo Februari 7,2025.
Serikali yasaini kandarasi ya Sh 350 bilioni ujenzi wa uwanja Dodoma Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa mchezo wa mpira wa miguu jijini Dodoma na mkandarasi kampuni ya LimontaI Spa ya nchini Italia wenye thamani ya zaidi ya Sh350 bilioni.
Mourinho apigwa rungu Uturuki JOSE Mourinho amekutana na adhabu ya kufungiwa mechi nne na kupigwa faini ya Pauni 35,000 baada ya kocha huyo wa Fenerbahce kutoa kauli iliyozua utata dhidi ya wapinzani wake.
Kigoma, Mara zabeba ndoo Taifa Cup TIMU ya kikapu ya wanaume ya Kigoma na wanawake ya Mara zimeibuka mabingwa wa mashindano ya Kikapu ya Taifa (CRDB Taifa Cup) yaliyomalizika juzi Jumamosi usiku kwenye Uwanja wa Chinangali, jijini...
Huenda Ne-YO yakamkuta ya Diddy Mama watoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Ne-Yo anayefahamika kwa jina la Big Sade, amemfananisha msanii huyo na Diddy kwa kumuita 'Diddy Junior'.