Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8630 results for Mwandishi :

  1. Stand United: Tutawaheshimu Mtibwa Sugar

    Uongozi wa timu ya soka ya Stand United ya mjini Shinyanga kupitia kwa meneja wake, Fred Masai umesema wamejipanga kupata matokeo chanya katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)...

  2. Coastal yamtimua Kocha, mrithi wake huyu hapa

    Coastal Union imefikia uamuzi wa kuachana na Kocha Ali Ameir baada ya kuinoa katika mechi tatu tu za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

  3. Chelsea yapigwa nyumbani

    SUNDERLAND imeiduwaza Chelsea uwanjani kwao Stamford Bridge baada ya kuichapa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Jumamosi.

    CHELSEA Pict
  4. Mkurugenzi Mtendaji CECAFA asimamishwa

    Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wake, Auka John Gecheo, kufuatia uamuzi wa Kamati Tendaji ya baraza hilo.

    CECAFA Pict
  5. Mazraoui kuwavaa Liverpool, Martinez mwezi ujao

    TATIZO la majeruhi kwenye kikosi cha Manchester United bado linamsumbua kocha Ruben Amorim huku likimtishia kwenye upangaji wa timu yake kwenye mechi.

    MAZROUI Pict
  6. Rashford aikataa Man United, asisitiza kubaki Barcelona 

    Mshambuliaji Marcus Rashford ameweka wazi kwamba anataka kuondoka kabisa Manchester United na kubaki Barcelona baada ya msimu huu kumalizika.

    RASHFORD Pict
  7. Skauti wa Simba ajiweka pembeni, afichua ishu nzito

    Kuondoka kwa Daalder kumetokea wiki chache tangu aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids kuikacha Simba na kujiunga na Raja Casablanca ya Morocco.

  8. Messi hatihati kukosekana Argentina, kocha afafanua

    Nahodha na mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi huenda asiwe sehemu ya kikosi cha Argentina kitakachocheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Venezuela na Puerto Rico.

    MESSI Pict
  9. Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka

    NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya.

    KATIBA Pict
  10. Bale aogopa kufilisika

    SUPASTAA, Gareth Bale amefichua jambo linalompa hofu kubwa kuwa ni kufilisika.

Previous

Page 60 of 863

Next