Stand United: Tutawaheshimu Mtibwa Sugar Uongozi wa timu ya soka ya Stand United ya mjini Shinyanga kupitia kwa meneja wake, Fred Masai umesema wamejipanga kupata matokeo chanya katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)...
Coastal yamtimua Kocha, mrithi wake huyu hapa Coastal Union imefikia uamuzi wa kuachana na Kocha Ali Ameir baada ya kuinoa katika mechi tatu tu za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
Chelsea yapigwa nyumbani SUNDERLAND imeiduwaza Chelsea uwanjani kwao Stamford Bridge baada ya kuichapa mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika Jumamosi.
Mkurugenzi Mtendaji CECAFA asimamishwa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wake, Auka John Gecheo, kufuatia uamuzi wa Kamati Tendaji ya baraza hilo.
Mazraoui kuwavaa Liverpool, Martinez mwezi ujao TATIZO la majeruhi kwenye kikosi cha Manchester United bado linamsumbua kocha Ruben Amorim huku likimtishia kwenye upangaji wa timu yake kwenye mechi.
Rashford aikataa Man United, asisitiza kubaki Barcelona Mshambuliaji Marcus Rashford ameweka wazi kwamba anataka kuondoka kabisa Manchester United na kubaki Barcelona baada ya msimu huu kumalizika.
Skauti wa Simba ajiweka pembeni, afichua ishu nzito Kuondoka kwa Daalder kumetokea wiki chache tangu aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids kuikacha Simba na kujiunga na Raja Casablanca ya Morocco.
Messi hatihati kukosekana Argentina, kocha afafanua Nahodha na mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi huenda asiwe sehemu ya kikosi cha Argentina kitakachocheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Venezuela na Puerto Rico.
Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya.
Bale aogopa kufilisika SUPASTAA, Gareth Bale amefichua jambo linalompa hofu kubwa kuwa ni kufilisika.