Serengeti Boys inajipanga haswa Vijana wa Serengeti Boys hawakuwa nyuma kwani walionekana kulimudu vizuri zoezi hilo. Viungo walipiga mipira mbele kwa wingi na washambuliaji walihakikisha wanafunga.
Vijeba AFCON waitisha Serengeti Maumbo na miili mikubwa ya wapinzani wa Serengeti Boys kwenye fainali za Afrika kwa vijana (Afcon U 17) yamemshtua kocha wa timu hiyo, Oscar Mirambo ambaye amesema, ameanza kuwajenga vijana...
Julio asisitiza nidhamu Serengeti Boys KOCHA wa zamani wa Serengeti Boys, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ametoa mtazamo wake kuelekea michuano ya AFCON inayofanyika mwaka huu Tanzania wakiwa wenyeji, wachezaji wajengwe kujua faida ya mpira...
Mirambo: Uturuki kumetupa fundisho Oscar amesema mechi hizo zimewafaidisha kwa mambo mengi ikiwama kuwajua wapinzani wao kwenye Afcon.
Serengeti Boys kwenda kujifua Qatar Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Oscar Mirambo alisema kambi hiyo itawasaidia wao kunoa makali ya wachezaji wake kabla ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi ujao.
Mirambo: Uturuki kumetupa fundisho kubwa Kocha wa timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 'Serengeti Boys', Oscar Mirambo amesema mechi walizocheza Uturuki za kwenye michuano ya Uefa Assist zitawapa matokeo mazuri...
Serengeti Boys waanza vibaya Uturuki Viungo walituangusha, tulitaka mmoja acheze chini na mwingine juu lakini mwisho wa siku ikawa tofauti
Mbape, Maurice, Ngoda waongoza jeshi Uturuki WACHEZAJI Kelvin John ‘Mbappe’ na Maurice Abraham wanaongoza msafara wa wachezaji 20 wanaoenda kucheza mashindano ya Uefa Assist nchini Uturuki yanayotarajia kuanza Machi 3.
Viwango bora Serengeti Boys vyamchanganya kocha HAZINA kubwa ya wachezaji waliojiwekea Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwenye kikosi cha Serengeti Boys imekuwa kama mtihani kwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Oscar Milambo kufanya uteuzi...
Ingwe yakatiza uhusiano wa Odera KCB STRAIKA Ezekiel Odera anatarajiwa kurejea klabu yake ya AFC Leopards kutoka KCB pindi tu dirisha fupi la uhamisho litakapofunguliwa juma lijalo.