Beckham, Katherine wakutana Wimbledon bila kuzungumza NYOTA wa zamani wa Man United, David Beckham na mwimbaji wa opera Katherine Jenkinswameingia kwenye vichwa mbalimbali vya habari baada ya wawili hao kukaa karibu kwenye Royal Box wakati wa siku...
Mexico yaanza kumtisha Thomas Tuchel WAKATI England ikifuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia ambapo inakwenda kukabiliana na Mexico huko Mexico City, kocha mkuu wa kikosi hicho, Thomas Tuchel, amesema wanatarajia kukabiliana na...
VAR inang'ata na kupuliza Kombe la Dunia 2026 Mfumo wa matumizi video za usaidizi kwa waamuzi 'Video Assistant Referee' (VAR) umeendelea kuzua mijadala kila uchwao.
Chelsea yamnasa beki Mtaliano CHELSEA imethibitisha kumsajili beki wa Italia mwenye umri wa miaka 21, Marco Palestra, kutoka Atalanta.
Marekani yatinga 16 bora Kombe la Dunia, ikiifuata Ubelgiji WENYEJI wenza wa michuano ya Kombe la Dunia 2026, timu ya taifa ya Marekani, imefuzu hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Bosnia and Herzegovina.
Kiungo Senegal abwaga manyanga akiweka sharti moja Saa chache baada ya Senegal kutupwa nje kwenye Fainali za Kombe la Dunia baada ya kufungwa mabao 3-2 na Ubelgiji, kiungo Pape Gueye ametangaza kujiweka kando kuichezea timu hiyo.
Tielemans aing'oa Senegal, Ubelgiji ikienda 16 bora Ubelgiji imefanikiwa kutoka nyuma na kwenda kutengeneza ushindi mzuri ikiichapa Senegal kwa mabao 3-2, ikijikatia tiketi ya kucheza hatua ya 16 bora kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2026.
Sababu nyingine Usyk kuachia mikanda ni hii BINGWA wa uzito wa juu duniani, Oleksandr Usyk anataka kuyaachia mataji yake ili kutoa nafasi kwa mabondia wengine wayashindanie, huku mshkaji wake wa mazoezini, Anthony Joshua, akilenga kutimiza...
Imbeju Sauti Moja kunogesha CRDB Bank International Marathon 2026 BENKI ya CRDB kupitia kampuni tanzu yake ya CRDB Bank Foundation, imezindua rasmi msimu wa saba wa CRDB Bank International Marathon 2026, utakaofanyika Agosti 2026 katika viwanja vya TTCL...