KMC yaipiga mkwara Yanga KIKOSI cha KMC kinaendelea kujifua kwa ajili ya mchezao wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga huku mabosi wao wakisisitiza wamejiandaa kuwadhalilisha vinara hao na mabingwa wa kihistoria wa ligi hiyo.
Ndemla huyoo anatua Singida KIUNGO wa Simba aliyepo kwa mkopo wa miezi sita Mtibwa Sugar, Said Ndemla muda wowote huenda akasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Singida Big Stars (zamani DTB).
#TBT ZILITRENDI: Mahakama yamtimua kazi Mwakalebela TAREHE kama ya leo yaani Machi 3, ila ndani ya mwaka 2008 iliripotiwa stori ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka (TFF), Fredrick Mwakalebela ni kama hana kazi baada ya mahakama ya kazi...
Simba yawaruhusu mastaa wake kujiunga kambi ya Stars Wachezaji wa Simba Kibu Denis na Mzamiru Yassin wameonakena kwenye mazoezi ya kikosi cha timu ya Taifa Tanzania 'Taifa Stars' kinachojiandaa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Sudan. Mechi hiyo...
TFF yaanika kisa cha Barbara kuzuiwa kwa Mkapa SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limefafanua taarifa ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez kuzuiwa kuingia kushuhudia timu yake ikicheza dhidi ya Yanga leo uwanja wa Mkapa.
Makamu wa Rais SMZ aongoza mazishi ya baba yake Ghalib Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Zanzibar, Themed Suleiman Abdullah ameshiriki mazishi ya Baba mzazi wa mfadhili wa Yanga Ghalib Said Mohamed, marehemu Said Mohamed sambamba na mamia ya...
Huyu Morrison anavituko nyie! BAADA ya kuchwa kwa Benard Morrison katika msafara wa wachezaji 25 wa Simba ambao wameelekea Sudan kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh SC, kumeibua kioja na kuanza...
CAF yaipa Stars kifuta jasho cha maana Licha ya kushindwa kufuzu hatua ya 16 bora ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2023), timu ya taifa 'Taifa Stars' imefanikiwa kupata Sh1.2 bilioni baada ya kumaliza hatua ya makundi...
Simba yaanza na sare Morocco Kikosi cha Simba leo kimecheza mechi ya kwanza ya kirafiki dhidi ya AS FAR Rabat ya nchini humo na kumaliza kwa sare ya mabao 2-2. Simba ilipanga kucheza mechi tatu za majaribio katika kambi yao...
Simba yatozwa faini KLABU ya Simba imetozwa faini ya Sh 500,000 kwa kosa la washabiki wake kurusha chupa tupu na zenye maji uwanjani na kusababisha mchezo wake dhidi ya Gwambina kusimama kwa zaidi ya dakika tatu...