Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7860 results for Mwandishi Wetu :

  1. Man United yamvutia kasi Valverde kumrithi Casemiro

    MANCHESTER United inaripotiwa kuangalia uwezekano wa kufanya uhamisho wa kushangaza wa kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, ambaye anaonekana kuwekwa kando katika kikosi hicho cha Hispania...

  2. VAR yachochea vita ya ubingwa Ligi Kuu England

    MAMBO ni mengi, lakini muda mchache! Ndivyo unavyoweza kusema kuhusiana na Ligi Kuu England ambayo kimsingi imebakiza mechi mbili kumalizika, huku kukiwa na maeneo matatu yenye vita kali kwa...

  3. Ronaldo atoa kauli baada ya ubingwa kutoweka

    “Ndoto iko karibu kutimia. Tuinue vichwa kwa imani, bado kuna hatua moja ya mwisho! Asanteni wote kwa sapoti kubwa usiku wa leo!” Kauli hii ya Cristiano Ronaldo imeibua hisia kali miongoni mwa...

  4. Salah kuongoza Mafarao  Kombe la Dunia 2026

    KUNA mataifa ambayo hushiriki Kombe la Dunia kwa ajili ya kuongeza uzoefu lakini pia kuna mataifa yanayoingia katika mashindano yakiwa na historia nzito mabegani mwao. Misri ni moja ya mataifa hayo.

    MISRI Pict
  5. JKT, Stein Warriors kazi ipo ufunguzi BDL

    ILE Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inarudi na tayari timu shiriki 16 zinajifua kwa ajili ya kipute hicho kinachotarajiwa kuanza siku nne zijazo, ambapo kamishna wa Ufundi na...

    JKT Pict
  6. MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI

    KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.

  7. De Reuck: Nilipotea Sundowns, Simba wakanisitiri

    Beki wa Simba SC, Rushine De Reuck, amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia mwishoni mwa maisha yake ya soka akiwa Mamelodi Sundowns, akisema alikuwa hajui mustakabali wake ulikuwa wapi.

  8. Gwiji ampeleka Mbappe Arsenal

    WAKATI mustakabali wa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, ukiendelea kuwa gumzo licha ya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa klabu hiyo, kiungo wa zamani wa Monaco, Arsenal, Barcelona na...

    TOTTENHAM Pict
  9. 'STOP'! VAR kutoongezewa majukumu EPL

    LIGI Kuu England (EPL), inatarajiwa kukataa kuongeza mamlaka ya teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) msimu ujao baada ya mazungumzo kati ya uongozi wa ligi na Bodi ya Waamuzi (PGMO).

    VAR Pict
  10. Argentina yatangaza 55 kikosi cha awali

    MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, wameanza rasmi maandalizi ya kutetea taji kwa kutangaza kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya mashindano ya mwaka huu.

    ARGENTINA Pict
Previous

Page 52 of 786

Next