Man United yamvutia kasi Valverde kumrithi Casemiro MANCHESTER United inaripotiwa kuangalia uwezekano wa kufanya uhamisho wa kushangaza wa kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, ambaye anaonekana kuwekwa kando katika kikosi hicho cha Hispania...
VAR yachochea vita ya ubingwa Ligi Kuu England MAMBO ni mengi, lakini muda mchache! Ndivyo unavyoweza kusema kuhusiana na Ligi Kuu England ambayo kimsingi imebakiza mechi mbili kumalizika, huku kukiwa na maeneo matatu yenye vita kali kwa...
Ronaldo atoa kauli baada ya ubingwa kutoweka “Ndoto iko karibu kutimia. Tuinue vichwa kwa imani, bado kuna hatua moja ya mwisho! Asanteni wote kwa sapoti kubwa usiku wa leo!” Kauli hii ya Cristiano Ronaldo imeibua hisia kali miongoni mwa...
Salah kuongoza Mafarao Kombe la Dunia 2026 KUNA mataifa ambayo hushiriki Kombe la Dunia kwa ajili ya kuongeza uzoefu lakini pia kuna mataifa yanayoingia katika mashindano yakiwa na historia nzito mabegani mwao. Misri ni moja ya mataifa hayo.
JKT, Stein Warriors kazi ipo ufunguzi BDL ILE Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inarudi na tayari timu shiriki 16 zinajifua kwa ajili ya kipute hicho kinachotarajiwa kuanza siku nne zijazo, ambapo kamishna wa Ufundi na...
MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.
De Reuck: Nilipotea Sundowns, Simba wakanisitiri Beki wa Simba SC, Rushine De Reuck, amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia mwishoni mwa maisha yake ya soka akiwa Mamelodi Sundowns, akisema alikuwa hajui mustakabali wake ulikuwa wapi.
Gwiji ampeleka Mbappe Arsenal WAKATI mustakabali wa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, ukiendelea kuwa gumzo licha ya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa klabu hiyo, kiungo wa zamani wa Monaco, Arsenal, Barcelona na...
'STOP'! VAR kutoongezewa majukumu EPL LIGI Kuu England (EPL), inatarajiwa kukataa kuongeza mamlaka ya teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) msimu ujao baada ya mazungumzo kati ya uongozi wa ligi na Bodi ya Waamuzi (PGMO).
Argentina yatangaza 55 kikosi cha awali MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, wameanza rasmi maandalizi ya kutetea taji kwa kutangaza kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya mashindano ya mwaka huu.