Enzo amalizana na Real Madrid KIUNGO Enzo Fernandez ameripotiwa kukubaliana masharti binafsi na Real Madrid kuelekea uhamisho unaowezekana kutoka Chelsea FC.
Doku kuikosa Iran, kauli juu ya mtoto yatikisa WAKATI Ubelgiji ikijiandaa na mechi ya pili ya kundi G ya Kombe la Dunia, winga wa timu hiyo, Jeremy Doku ataukosa mchezo huo baada ya shirikisho la soka la nchi hiyo kutangaza kuwa anasumbuliwa...
Dembele aingia kwenye historia ya Kombe la Dunia kwa hat-trick ya mapema NYOTA wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameandika historia mpya usiku wa kuamkia leo, Jumamosi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga hat-trick ndani ya dakika 32 katika ushindi wa mabao 4-1...
Mpo? Agomea ndoa kisa soka WAKATI mastaa wengi duniani wakianzisha familia sambamba na ma isha ya soka, nahodha wa Korea Kusini, Son Heung-min ameendelea kushikilia msimamo wake wa kutanguliza soka mbele ya kila kitu, hata...
Man City yaichapa Arsenal, mbio za ubingwa EPL zapamba moto MANCHESTER City imepata ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Arsenal katika mechi iliyokuwa na uzito mkubwa kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England.
Mourinho akaribia rekodi ya Arsene Wenger Jose Mourinho, anakaribia kufikia rekodi ya mpinzani wake wa zamani, Arsene Wenger, kwa kumaliza msimu wa ligi bila kupoteza mechi.
Simba, Yanga kuchuana vikali Mei 9, The Super Dome TUZO za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ambazo hutolewa ili kutambua mchango wa wanamichezo bora nchini, zimepangwa kutolewa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa The Super Dome Masaki uliopo jijini Dar...
Balogun apambana kuvunja rekodi ya Mbappe Ligue 1 HUU siyo msimu mzuri kwa pamoja kwa Kylian Mbappe. Real Madrid imepoteza Copa del Rey, Ligi ya Mabingwa Ulaya na huenda hata LaLiga. Mbaya zaidi, Vedat Muriqi, straika wa mabao wa Real Mallorca...
Carragher amlaumu Mathys Tel, Roberto De Zerbi ampinga MCHAMBUZI wa soka, Jamie Carragher amemkosoa vikali mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Mathys Tel, kufuatia uamuzi wake wa kupiga mpira wa ‘sarakasi’ uliosababisha penalti na kuwanyima Spurs...