Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

720 results for Nevumba Abubakar :

  1. Rekodi nyota wa Ligi Kuu walivyoipeleka Tanzania Kombe la Dunia Futsal

    TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Futsal imeweka historia ya aina yake baada ya kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia 2025, ikiwa ni moja ya mataifa mawili tu, pamoja na Morocco...

  2. AFCON U-20: Ngorongoro Heroes kujiuliza kwa Sierra Leone

    BAADA ya Timu ya taifa ya vijana 'Ngorongoro Heroes' kupoteza mechi ya kwanza ya kundi A kwenye kampeni za kusaka ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 20 (Afcon U-20), leo Mei 3...

    NGORONGORO Pict
  3. PRIME Ahadi ya Camara Simba CAF

    KIPA namba moja wa Simba, Mousa Camara amewaahidi mashabiki wa klabu hiyo jambo moja kuelekea mechi ya fainali ya Shirikisho dhidi ya RS Berkane.

    New Content Item (1)
  4. Nyoni aiota Top 5, Kabunda amtaja Mgunda

    WAKATI nyota mkongwe wa Namungo, Erasto Nyoni akiweka bayana anavyotamani kuona timu hiyo ikipambana ili imalize katika Tano Bora ya Ligi Kuu Bara, mshambuliaji anayekipiga kwa Wauaji wa Kusini...

    NYONI Pict
  5. Clara Luvanga namba zimempa heshima Saudia

    KAMA kuna msimu bora kwa mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayeitumikia Al Nassr ya Saudia basi ni huu.

  6. Chama alivyopishana na medali za CAF

    KITENDO cha Simba kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, kinazidi kuipeperusha Ligi ya Tanzania kimataifa lakini kwa kiungo mshambuliaji, Clatous Chama anaikosa medali hiyo baada ya msimu...

  7. Ngorongoro Heroes yaanza msako wa ubingwa Afcon U20

    TIMU ya taifa ya Tanzania ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes kesho Jumatano itaanza kampeni za kusaka ubingwa kucheza fainali za Kombe ka Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Afrika...

    NGORONGORO Pict
  8. Stumai, Shikangwa jino kwa jino kiatu Ligi Kuu

    ACHANA na vita ya upachikaji mabao kwa nyota Jentrix Shikangwa wa Simba Queens na Stumai Abdallah (JKT Queens), kingine ni wanalingana kwa mabao ya ugenini.

    JINO Pict
  9. Beki Yanga Princess bado anajifunza

    LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Yanga Princess, lakini beki wa kulia, Lucy Pajero amesema anajifunza vitu vingi akiwa benchi.

    BEKI Y Pict
  10. Mlandizi Queens kama KenGold tu

    HATIMAYE Mlandizi Queens imeshuka daraja rasmi baada ya kucheza mechi 15 bila ushindi ikitoka sare moja sawa na Ken Gold iliyoshuka Ligi Kuu baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya...

    MLANDIZI Pict
Previous

Page 5 of 72

Next