Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

474 results for Ibrahim Mussa :

  1. Yanga yaichakaza Prisons, Bacca afunga la mkono

    YANGA leo imeendelea wimbi la ushindi baada ya kuifumua Tanzania Prisons kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku Prince Dube akitupia bao moja na kumfanya afikishe matano kupitia mechi...

    Bacca Pict
  2. Utamu wa masumbwi kufunga mwaka 2024

    WAKATI mwaka 2024 unakaribia mwishoni, kwenye mchezo wa ngumi za kulipwa kumekuwa na ushindani mkali kutokana na kila promosheni kuandaa pambano lake la kufungia mwaka.

    Boxing Pict
  3. PRIME Msimlaumu mtu! Ramovic ahitaji majembe sita, hawa wako hatarini

    BAADA ya kufanyika tathimini ya washambuliaji wa Yanga kile walichokifanya msimu huu hadi sasa dirisha dogo limefunguliwa, ni wazi uamuzi unaokwenda kufanyika katika eneo hilo hautakuwa na lawama...

    Yanga Pict
  4. Chikola: Miamala ilisoma kisa Yanga

    Katika Ligi Kuu Bara msimu huu mpaka sasa huenda ushindi wa mabao 3-1 wa Tabora United mbele ya Yanga katika Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam ndiyo matokeo ya soka ambayo yamezungumzwa...

  5. COSMAS CHEKA: Tunauza sana mapambano nje

    Cosmas ni mdogo wa bingwa wa zamani wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka ‘SMG’ ambaye amekuwa na rekodi kubwa kimataifa zaidi ya kaka yake lakini hatajwi.

  6. SIO ZENGWE: Kwanini haikuwa sahihi kumtimua Gamondi

    BILA shaka mtu anayeumiza kichwa zaidi kwa sasa ni kocha Saed Ramovich, baada ya timu anayoinoa ya Yanga kupoteza mechi mbili kati ya tatu zilizopita, vipigo ambavyo ni vya kuanzia mabao mawili...

    Zengwe Pict
  7. Mussa anavyopiga pesa nje ya soka

    KAMA ukibahatika kupiga stori za hapa na pale na mshambuliaji wa Mashujaa FC, Mohamed Mussa utagundua mwonekano wake ni tofauti na maisha yake nje ya uwanja anakotambulika kuwa na shughuli...

    Mussa Pict
  8. PRIME Yanga yaruka mtego wa Waalgeria

    HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na...

  9. IDDI PIALALI: Pambano na mfaume lilikuwa na maajabu

    KAWAIDA maisha ya mwanadamu yamekuwa ya kuhangaika katika kupata mkate wa kila siku kama ilivyokuwa kwa bondia Idd Pialali ambaye ni maarufu sana mitaa ya Manzese, Dar es Salaam.

  10. Boka, Mzize, Aucho wanogesha safari ya Yanga Algeria

    , Dickson Job, Ibrahim Abdullah 'Bacca', Kouassi Yao Attohoula, Nickson Kibabage, Kibwana Shomari na Chadrack Boka.  Viungo; Maxi Nzengeli, Pacome Zouzoua, Mudathir Yahya, Khalid...

Previous

Page 5 of 48

Next