Kocha amorim kung’atuka atoa sababu nzito Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amefichua kwamba atamwaga manyanga ya kuinoa timu hiyo kama atashindwa kubadilisha kiwango cha timu hiyo ndani ya uwanja.
Kinatoka chuma kinaingia chuma… Xabi Alonso Los Blancos KINATOKA chuma, kinaingia chuma. Ndicho unachoweza kusema baada ya kuripotiwa kocha Xabi Alonso amesaini mkataba wa kuinoa Real Madrid hadi 2028.
PRIME Yanga SC yajifungia na Sowah Dar WAKATI Yanga ikianza maisha mapya bila kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI anayedaiwa anajidaa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, mabosi wa klabu hiyo wamepiga hesabu kali za kuboresha kikosi...
PRIME Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi.
Man United yaweka sokoni mastaa wote wa kikosi cha kwanza HABARI ndo hiyo. Manchester United imeripotiwa kuwaweka sokoni mastaa wake wote kwenye kikosi kwamba hakuna ambaye hauzwi kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Fernandes abakiza wiki moja kuamua NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameripotiwa kwamba amepanga hadi wiki ijayo atatoa uamuzi kama anataka kuachana na miamba hiyo ya Old Trafford baada ya kuwekewa mezani dili la Pauni...
Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026.
Jesus ashikilia jezi ya Gyokeres Arsenal Gyokeres, 27, anataka kujiunga na Arsenal kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi na sasa dili hilo lipo kwenye hatua za mwisho kukamilika.
Mastaa Yanga, Simba wabebeshwa jukumu CHAN 2024 Kocha huyo pia amefichua kwamba eneo linalompa matumaini zaidi katika kikosi chake ni safu ya ulinzi ingawa pia safu ya kiungo inatia matumaini.
Bosi Spurs aibukia kesi ya Man city MWENYEKITI wa klabu ya Tottenham Hotspur, Daniel Levy amesema uchunguzi wa madai ya Manchester City kufanya udanganyifu kwenye matumizi ya pesa kwenye usajili unachukua muda mrefu sana.