Mashabiki wazuiwa kuingia Marekani MASHINDANO ya Kombe la Dunia la 2026 yamekumbwa na kikwazo kingine kikubwa baada ya mashabiki kutoka mataifa 15 yanayoshiriki mashindano hayo mambo yao ya viza kusubirishwa na Marekani chini ya...
Ramos yupo pazuri kuinunua Sevilla SERGIO Ramos ameongeza dau kubwa la fedha kwa lengo la kuinunua klabu yake ya zamani, Sevilla.
Mo Salah afichua jambo Morocco NAHODHA wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah ameshusha presha ya matarajio ya kuonekana kama timu inayopewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huko...
Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tatu KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026.
Tanzania yapanda nafasi mbili viwango vya ubora FIFA Kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zilizofikia tamati huko Morocco juzi Jumapili, kumeonekana kuibeba Taifa Stars.
Arsenal yapata pigo tena, yampoteza Saka MBIO za ubingwa kwa Arsenal zimezidi kuingiwa na mikosi baada ya staa wao, Bukayo Saka kupata majeraha yaliyosababisha kutocheza kwenye mechi dhidi ya Leeds United na aliumia dakika za mwisho...
Michael Carrick anamtaka Rashford Man United KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick anataka kumrejesha mshambuliaji wa timu hiyo, Marcus Rashford anayecheza kwa mkopo Barcelona ikiwa atateuliwa kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo.
Kobbie Mainoo amuumbua Ruben Amorim RUBEN Amorim aliamini Kobbie Mainoo hangeweza kucheza sambamba na Casemiro akiona hana nguvu, kasi wala uzoefu.
Pogba wa Zenji aibukia KMC KIUNGO mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ aliyekuwa akihusishwa kutua Azam FC, ameibukia KMC kwa kusainishwa mkataba wa miaka ili kuitumikia timu hiyo inayopambana kujiweka katika...