Rais Trump kuhudhuria hafla ya upangaji makundi Kombe la Dunia 2026 Ikulu ya Marekani imethibitisha kwamba, Rais Trump atahudhuria hafla ya droo ya upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia 2026, itakayofanyika mjini Washington mwishoni mwa wiki hii. Marekani...
Kimeo cha jezi Namba 7 kinavyotisha Man United STAA wa Manchester United, Mason Mount anapambana kwa nguvu kujiondoa kwenye gundu linalowaandama mastaa wengi waliokabidhiwa jezi Namba 7 kwenye kikosi.
Bosi Bayern ampiga kijembe Wirtz KIUNGO, Florian Wirtz amecheza kwa kiwango bora sana aliporejea uwanjani kuitumikia Liverpool kwenye ushindi dhidi ya West Ham United, Jumapili iliyopita akitokea kwenye majeraha yaliyomweka nje...
Siku 61 za Pantev zilivyohitimishwa Simba KLABU ya Simba, leo Desemba 2, 2025 imetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev pamoja na wasaidizi wake wawili.
Mambo mawili yashika mkataba wa Rashford NDO hivyo. Suala la Barcelona kumbeba jumla Marcus Rashford limedaiwa kuwagawa mabosi wa timu hiyo na hivyo kulifanya jambo hilo kubaki njiapanda.
Pedro awapa tano mastaa Yanga MASHABIKI wa Yanga wana furaha vilevile mabosi wao, siri ni moja tu ni kwamba kikosi cha timu hiyo kilivyobadilika, lakini kocha Pedro Goncalves mwenyewe humwambii kitu kuhusu wachezaji.
Mdhamini awaingiza vitani Chelsea, Arsenal CHELSEA imecheka kwa dharau kwa madai ya Arsenal imewapiga kikumbo kwenye kunasa dili la udhamini la pesa ndefu ambalo lilikaribia kutiki huko Stamford Bridge.
Wagosi wapo tayari kwa vita Ligi Kuu Bara KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema wachezaji wa timu hiyo wapo tayari kuendeleza vita na ushindani mechi za Ligi Kuu Bara baada ya kurejea tena huku akitamba keshokutwa Jumamosi...