Slot, Mo Salah bado pagumu KOCHA, Arne Slot amefunguka juu ya mpango wa Mohamed Salah kurejea kwenye kikosi cha Liverpool baada ya uamuzi wake wa kumpiga benchi staa huyo kuzaa matunda kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Timu tano Mabingwa Ulaya bado England ENGLAND inaendelea kushikilia tiketi ya kuwa na timu tano kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kutokana na kufanya vizuri kwenye michuano ya Ulaya kwa wiki iliyopita.
Thibaut Courtois ataja walinda mlango watatu bora duniani Kipa wa timu ya taifa ya Ubelgiji na klabu ya Real Madrid, Thibaut Courtois, ametaja orodha ya makipa bora, ambao anaamini kwa sasa wanafanya vizuri katika soka la ushindani.
LaLiga, Bundesliga kote ni moto MAMBO ni moto. Ndicho unachoweza kusema kuhusu kurejea upya kwa ligi mbalimbali za Ulaya, ambapo kote kutakuwa na kasheshe kubwa kuanzia kwenye La Liga, Bundesliga, Ligue 1 na Serie A, kati ya...
Mike Dean...Nani Ferguson? mtata Wenger MWAMUZI, Mike Dean amefichua kwamba Sir Alex Ferguson wala hakuwa kocha mtata kwa waamuzi waliochezesha mechi za timu yake licha ya wengi kuamini alikuwa moto kwa marefa.
Amorim: Ratcliffe ametupa mzuka KOCHA mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini maneno ya bilionea Sir Jim Ratcliffe aliyosema kwamba ana imani na kocha huyo umeamsha morali mkubwa katika kikosi hicho cha Old Trafford.
Bosi Bayern afunguka ishu ya Kane kutua Barca MKURUGENZI wa michezo wa Bayern Munich, Max Eberl, ameatoa taarifa ya kutatanisha kuhusu mustakabali wa Harry Kane, akisema mshambuliaji huyo “anajua kabisa anachotaka”.
Kocha Liverpool agomea tuzo KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopata Liverpool kutoka kwa Nottingham Forest mechi ya Ligi Kuu England, Jumamosi iliyopita, kimemvuruga kocha wa majogoo hao, Andre Slot na kuzisusia tuzo zilizokuwa...
Liverpool yapigwa tena nyumbani, Arne Slot hatarini Mwendo mbaya wa Liverpool msimu huu umeendelea baada ya kupokea kipigo cha aibu kutoka kwa PSV Eindhoven kwenye Uwanja wa Anfield, katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezwa usiku wa...
Kylian Mbappe apiga nne Real Madrid ikiichapa Olympiacos 4-3 Kylian Mbappe amefunga mabao manne na kuiwezesha Real Madrid kushinda dhidi ya Olympiacos katika Ligi ya Mabingwa, mechi ikichezwa Stadio Georgios Karaiskáki nchini Ugiriki, usiku wa Novemba 26...