Pamba Jiji yaingia na mambo mawili kwa Yanga KOCHA Msaidizi wa Pamba Jiji, Henry Mkanwa, ameyataja mambo mawili ambayo wataingia nayo kesho Alhamisi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga.
Jeuri ya Aussems ipo hapa! KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems amesema kwa sasa anajivunia upana na ubora wa timu hiyo baada ya kuanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu, huku wachezaji wote...
Simba waja na Tik-Tak kwa Mkapa Katika mchezo wa kwanza uliofanyika Jumapili iliyopita nchini Nigeria Simba ilianza vizuri mashindano hayo kwa kupata uhsindi wa bao 1-0 dhidi ya Plateau United.
Haji? Diego huyu hapa MWANASPOTI lilifichua kwa mara ya kwanza usajili wa Mniger, Issofou Boubacar, Jumamosi iliyopita. Simu kibao zikamininika kwenye chumba chetu cha habari, vigogo wa juu wa Yanga wakitaka kujua...
Manji: Yaani Simba imetupita! Sikubali YUSUFU Manji amekasirika! Amewaweka kitimoto wachezaji wa Yanga kwa muda wa saa moja jijini Dar es Salaam kutaka kujua
Mrisho Ngassa asaini rasmi Yanga HUU si mchezo wa kuvurugana akili, wala si hujuma ila ni hakika. Yanga imethibitisha 'kumsajili' winga machachari wa Simba, Mrisho Ngassa kwa
Zanzibar Heroes waenda Chalenji na basi Msafara wa Zanzibar Heroes wenye watu 34, wachezaji 24 na viongozi 10, wamendoka majira ya saa 3:00 asubuhi na boti ya Kilimanjaro kwenda Dar es Salaam.
KAMARI : Souness adai kumsajili Balotelli ni bahati nasibu KUMSAJILI Balotelli ni bahati nasibu. Ni kama kucheza kamari. Yule jamaa hatabiriki. Kazi anayo Brendan Rodgers. Hayo ni maneno ya kocha wa zamani wa Liverpool, Graeme Souness akimuonya kocha wa...
ENGLAND: Guardiola ataka kufundisha England baada ya Bayern MAISHA bado yapo kasi kwa kocha kijana, Pep Guardiola. Sasa ameziweka mkao wa kula klabu za Manchester City na Arsenal baada ya kutamka wazi kuwa ‘Nitakuja England’.
Ninja ni Yanga tu Mwinyi Zahera asiukubali mziki wa Simba kwa sababu Kwann huyu kocha si mnafiki anasema ukweli ingawa wakati mwingine kauli zake hizo za kusema ukweli zinaweza kumweka matatani.