Mbao ina dili zake za kijanja nyie! ITAKAPOSHUKA uwanjani Kirumba kesho Jumatano kuvaana na Allianze FC katika ‘Debi’ jipya la Mwanza, Mbao FC pia itakuwa inauanza msimu wa tatu mfululizo kwao kushiriki Ligi Kuu Bara huku kwa...
Miaka 10 ya Simba Day, rekodi za kibabe LEO Jumatano Simba itashuka uwanjani kuvaana na Asante Kotoko ya Ghana katika mechi ya kuhitimisha Tamasha la Simba Day lililoasisiwa mwaka 2009.
Yanga ya Zahera inahitaji uelekeo huu YANGA juzi usiku ilicheza mchezo wake wa nne wa ukiwa ni warudiano dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Katika mchgezo huo, Yanga ilikubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Gor Mahia na kufuta matumaini...
Mzamiru, Mo Ibrahim washindwe wenyewe UKISIKIA zali ndilo hili. Nyota waliokuwa hawapati namba katika kikosi cha kwanza cha Kocha Mfaransa, Pierre Lechantre alipokuwa akiinoa Simba, sasa wana nafasi ya kurekebisha mambo chini ya...
Makambo atolewa macho Jangwani KAMA kuna mchezaji mpya wa Yanga mwenye kazi Jangwani basi ni straika, Heritier Makambo, ambaye anatupiwa macho na wadau wa soka kutaka kuona ana jipya gani pale Ligi Kuu Bara msimu wa 2018-19...
Makambo atolewa macho Yanga KAMA kuna mchezaji mpya wa Yanga mwenye kazi Jangwani basi ni straika, Heritier Makambo ambaye anatupiwa macho na wadau wa soka kutaka kuona ana jipya gani mara itakapoanza Ligi Kuu Bara msimu wa...
VIDEO: Kikosi cha Yanga kinachopindua meza ya Gor Mahia hiki hapa Kikosi cha Yanga dhidi ya Gor Mahia FC kuelekea mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika
Usajili: Yanga yanasa 32, Simba nane wakigeni Ligi Kuu Bar itaanza kutimua vumbi Agosti 22, 2018 na kumalizika Mei 19, 2019
VIDEO: Yanga yasajili 32, viungo 12, washambuliaji 9 Pazia la usajili wa Ligi Kuu Bara limefungwa rasmi jana saa 6 usiku
Yondani, Kessy nguvu moja Jangwani Nyota sita wa kikosi cha kwanza walikosa mazoezi yaliyofanyika Chuo cha Polisi Kurasini, akiwamo Hassan Kessy aliyeshiriki kikao na mabosi wa Usajili juzi ili kuweka mambo sawa na wachezaji...