PRIME Sowah, Yanga kumekucha, mambo yapo hivi SINGIDA Black Stars inachekelea usajili wa kumshusha nchini mshambuliaji Jonathan Sowah, lakini wakubwa wamemuona ikiwemo Yanga na hesabu mpya ni kwamba imemuachia msala kocha wa timu hiyo...
JKT Tanzania, Mbeya City zakata tiketi ya robo fainali Shirikisho MAAFANDE w JKT Tanzania ikiwa uwanja wa nyumbani wa Meja Jenerali Isamuhyo, imeinyoosha Mbeya Kwanza kwa mabao 3-0 na kukata tiketi ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho.
Ligi ya mabingwa Ulaya… Patachimbika BAADA ya jana kumalizika kwa hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa, sasa ni rasmi kila timu imeshamtambua mpinzani wake kuelekea robo fainali ya michuano hii.
Liverpool kupiga kibuti mastaa kibao LIVERPOOL inakabiliwa na mchakato wa kuachana na mastaa wake kibao mwishoni mwa msimu huu bila ya kujali ni kitu gani kitatokea kwenye wiki hizi chache zilizobaki kabla ya msimu kumalizika.
Kwa Barcelona! Hili ni pigo KUTOKANA na matatizo ya kifedha, ripoti zinaeleza Barcelona ipo katika hatari ya kupoteza wachezaji 10 kutoka kwenye akademi yao katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Arteta, Kimmich wapo mezani HABARI ndo hiyo. Arsenal imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo Joshua Kimmich, ikielezwa utakuwa usajili wa kibabe sana kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Gundogan anabaki, De Bruyne ataamua HABARI ndo hiyo. Arsenal imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo Joshua Kimmich, ikielezwa utakuwa usajili wa kibabe sana kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Shearer: Arteta anajifukuzisha! GWIJI wa Ligi Kuu England, Alan Shearer anaamini kocha Mikel Arteta anatafuta mwenyewe njia ya kujiweka kwenye presha ya kufutwa kazi kwenye klabu ya Arsenal baada ya kushindwa kuifanya timu hiyo...
Peter Kenyon afichua tatizo lilipo Man United KURUGEZNI Mtendaji Mkuu wa zamani wa Mkuu wa Manchester United, Peter Kenyon ametania kwamba familia ya Glazer “Inapaswa kupigwa risasi” kwa kitendo cha kushuhudia timu hiyo ya Old Trafford...
Siri ya vita za mapema England ni hii MAMBO ni mengi sana Ulaya. Wakati ligi zikiwa zimemalizika mwisho wa wiki hii, harakati mbalimbali zimeanza, kuna vigogo kama Manchester United wameshaanza maandalizi ya msimu na wengine...