Kifo cha straika wa Vipers, Polisi wamaliza utata Baadhi ya ripoti zimedai kuwa mchezaji huyo amefariki kutokana na ajali ya gari lakini taarifa ya awali iliyotolewa na Polisi Uganda imeonyesha chanzo tofauti na ajali.
Usishangae El Clasico ikipigwa Wembley KIPUTE cha El Clasico huenda kikahamishiwa Uwanja wa Wembley baada ya Barcelona kushindwa kukamilisha maboresho ya uwanja wao wa Nou Camp ambao utagharimu Pauni 1.25 bilioni.
Mtoano UEFA ni mtihani mzito BAADA ya juzi kumalizika kwa hatua ya ligi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, vigogo mbalimbali barani humo wamejikuta katika mtihani wa kucheza mechi za mtoano kuwania kufuzu hatua ya 16...
PRIME Kaizer yang’ang’ana na Fei Toto, yafikia hapa! KAMA unadhani klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imeamua kumpotezea kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, baada ya ofa yao waliyoiwasilisha Azam FC, pole yako
Kane afunguka kuondoka Bayern Munich STRAIKA wa Bayern Munich, Harry Kane amefunguka kuhusu mustakabali wake kwenye kikosi cha Bayern Munich baada ya kugundulika kuwa na kifungu katika mkataba wake ambacho kitamwezesha kuondoka...
Chelsea kuchomoa kipa Liverpool INAELEZWA kwamba Chelsea wamepanga kufanya uhamisho mkubwa kwa kipa wa Liverpool ambaye tayari amekiri kwamba anataka kuondoka kwenye timu hiyo.
Jorginho ndo hivyo, anarudi alikozaliwa KIUNGO wa Arsenal, Jorginho ameripotiwa kufikia makubaliano ya kujiunga na Flamengo kwa uhamisho wa bure mwishoni mwa msimu huu.
PRIME Mayele ni rekodi juu ya rekodi Misri Oktoba 3, 2024, Fiston Mayele alipiga pasi mbili za mwisho dhidi ya El Dakhlia ambazo zilichangia kuiwezesha Pyramids FC kupata ushindi wa mabao 2-0 na zikamfanya afikie rekodi moja tamu kwenye...
Man United yaweka mambo hadharani kuhusu Ten Hag MANCHESTER UNITED imefichua ni kiasi gani ilichotumia kama fidia ya kumfukuza Erik ten Hag na Dan Ashworth huku deni lao likifikia Pauni 1 bilioni.
Rio Ferdinand kasema... Man United inashuka RIO Ferdinand amefichua wasiwasi wake huenda Manchester United isipate ushindi wowote tena kwenye mechi zilizobaki kwenye Ligi Kuu England msimu huu.