Kuna swali? Lakers bila LeBron James LOS Angeles Lakers imejikuta kwenye wakati mgumu kuelekea mwanzo wa msimu mpya wa NBA 2025/26, baada ya kuthibitishwa kuwa nyota wa timu hiyo LeBron James hatakuwepo kwenye michezo ya awali...
Cedrick Kaze akabidhiwa Kaizer Chiefs, Nabi akiaga Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imempa jukumu Cedrick Kaze kuinoa timu hiyo hadi mwishoni mwa msimu kufuatia uamuzi wa kuachana na Kocha wake Mkuu, Nasreddine Nabi jana.
Mwigizaji wa tamthilia ya Mpali afariki dunia Muigizaji kwenye tamthilia ya Mpali ya nchini Zambia aitwaye Wanga Zulu maarufu kwa jina la Junza, aliyekuwa akiigiza kama mke mkubwa wa Nguzu, amefariki dunia.
Pacome anukia Kombe la Dunia, Afrika Kusini hali tete Ivory Coast imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo Ijumaa, Oktoba 10, 2025 kuibuka na ushindi mnono ugenini wa mabao 7-0 dhidi ya Shelisheli.
Mkhitaryan afichua Mourinho alivyomfanya aondoke Man United KIUNGO Henrikh Mkhitaryan amefichua ugomvi wake na kocha Jose Mourinho na ndio chanzo kilichomfanya afikie mwisho wa zama zake kuitumikia Manchester United.
Una hela? Hilo swali haliwahusu hawa jamaa UNA hela? Si unajua tena, siku hizi hapendwi mtu, linapendwa pochi.
Umeme wazua moto nyumbani kwa Vini Junior TATIZO la hitilafu ya umeme kutoka kwenye chumba cha sauna ndicho kilichoripotiwa kusababisha moto kwenye nyumba ya supastaa wa Real Madrid, Vinicius Jr.
Arsenal kuingiza Pauni 500,000 kwa kila mechi ARSENAL imeripotiwa kuwa kwenye mchakato wa kuingia dili litakaloifanya iongeze mapato yake ya kwenye mechi kuanzia msimu ujao.