Palmer aipa pigo jingine Chelsea COLE Palmer ameipa pigo jingine Chelsea kutokana na kuumia kidole wakati akiwa nyumbani.
Isak anunua mbwa kwa Sh96 milioni STRAIKA wa Liverpool, Alexander Isak ametumia Pauni 30,000 (Sh95,508,600) kununua mbwa kwa ajili ya kumlinda kutokana na kupokea meseji nyingi za vitisho vya kuawa.
Makamu Rais SMZ akunwa mbio za Yas Z'bar International MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amepongeza maandalizi na mafanikio ya mbio za Yas Zanzibar International Marathon zilizofanyika leo visiwani Zanzibar kwa mafanikio...
LaLiga, Bundesliga kote ni moto MAMBO ni moto. Ndicho unachoweza kusema kuhusu kurejea upya kwa ligi mbalimbali za Ulaya, ambapo kote kutakuwa na kasheshe kubwa kuanzia kwenye La Liga, Bundesliga, Ligue 1 na Serie A, kati ya...
Waliofuzu, wanaopewa nafasi ya kubeba Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zinahesabu miezi tu kabla ya kuanza rasmi, huku zikiwa zimebaki timu sita tu ili kupata idadi kamili ya miamba itakayochuana kwenye kusaka ubingwa huo wa dunia.
Arsenal vs Spurs... Gemu lenye ufundi mwingi LIGI imerudi na gumzo la wikiendi ni kipute cha North London Derby.
Ligi Kuu England ni mchakamchaka chinja! ULE utamu wa Ligi Kuu England unarudi tena wikiendi hii, kila timu ikijaribu kusaka ushindi muhimu katika mchakamchaka wa ligi hiyo yenye ubabe mwingi.
Hakuna namna ni Harry Kane tu! CHUMA kimoja kikitoka, kingine kinaingia. Hicho ndicho kinachopangwa kufanyika huko Barcelona katika msako wa kusaka straika mpya wa kucheza kwenye fowadi yao msimu ujao.
Semenyo apiga goti kubeba kimwana MSHAMBULIAJI Antoine Semenyo amekuwa akisakwa kwelikweli kuelekea dirisha lijalo la usajili kutokana na kile anachofanya huko Bournemouth, lakini kwa wanaomtaka nje ya uwanja hilo amelifunga...
Wales yapewa 30%, Italia 62% kufuzu WALES imepewa nafasi ya asilimia 30 ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia 2026.