Rais FIFA aipongeza Black Stars kufuzu Kombe la Dunia 2026
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametuma salamu za pongezi kwa timu ya taifa ya Ghana maarufu Black Stars, kufuatia kufuzu fainali za Kombe la Dunia la...