Kajala ajiandae kisaikolojia na haya kwa Harmonize MWANDISHI Darren Hardy katika kitabu chake, The Compound Effect kilichouza nakala zaidi ya milioni 1 tangu mwaka 2010, ameeleza kile alichoita ‘Law of compound effect’ ambacho ndicho...
Revina daktari wa kike kwenye soka la kiume “NAPITIA mengi mazito.” Ndivyo anavyosema daktari wa timu ya Ken Gold, Revina Renatus akielezea kazi yake kwenye soka akiwa mwanamke pekee kuhudumia wachezaji wa kiume.
Diamond kuliamsha Ureno NYOTA ya muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ inazidi kung’ara baada ya kutangazwa kuwa mmoja ya wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Afro Nation akiwa ni msanii...
Azam FC, Gor Mahia kinapigwa AZAM FC inatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Kenya (FKF-PL), Gor Mahia, jijini Nairobi, Novemba 19. Azam inakwenda kucheza mechi hiyo ikiwa ni...
TFF yajibu ishu ya wachezaji kulipwa Sh20,000, kutelekezwa Tanga Wakati taarifa ya kutokulipwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya chini ya miaka 15 ikisambaa mitandaoni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema bado lipo kwenye utaratibu wa kubadili...
Bosi mpya Yanga aanza na Al Hilal Mtine ameanza kushusha hesabu zote zitakazoisadia Yanga kuwashangaza matajiri hao wa Sudan, ikiwemno mikakati ya kocha wa timu hiyo Florent Ibenge ambaye ni raia wa DR Congo.
Phiri aomba wiki mbili za kibabe Msimbazi STRAIKA mpya wa Simba, Mzambia Moses Phiri amewaambia viongozi wa timu hiyo kwamba ; “Nipeni wiki mbili tu.”
Ruvu Shooting yawekwa sokoni WAZEE wa Kupapasa, Ruvu Shooting imeshuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara na msimu ujao itacheza Ligi ya Championship, huku ikidaiwa ipo kwenye mpango wa kuuzwa. Ruvu ilikuwa timu ya kwanza kushuka...
Onyango aomba kuondoka Simba UJIO wa beki wa kati kutoka Burkina Faso, Mohamed Ouattara ndani ya Simba umemfanya Mkenya Joash Onyango kupigwa benchi na Kocha Zoran Maki kiasi cha kukosa mechi mbili za awali za Ligi Kuu Bara...
Mwenyekiti Simba atuliza upepo Msimbazi Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amewataka mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kuwa watulivu. Murtaza amesema katika kipindi hiki ambacho timu hiyo imekuwa ikipitia kwa uongozi wao...