Cape Verde yafuzu Kombe la Dunia, Arajiga akisimama kati Cape Verde limekuwa taifa la sita Afrika kukata tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo, Oktoba 13, 2025 kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Eswatini.
Roman Folz aletewa msaidizi, aanza kazi Klabu ya Yanga, imemtangaza Patrick Mabedi raia wa Malawi kuwa kocha msaidizi wa kikosi hicho kinachoongozwa na Mjerumani, Romain Folz.
Mazraoui kuwavaa Liverpool, Martinez mwezi ujao TATIZO la majeruhi kwenye kikosi cha Manchester United bado linamsumbua kocha Ruben Amorim huku likimtishia kwenye upangaji wa timu yake kwenye mechi.
Balotelli atangaza kurudi kwenye soka STRAIKA wa zamani wa AC Milan na Inter Milan, Mario Balotelli amesema yupo tayari kurejea kwenye soka.
Arrigo Sacchi amtaka Zidane atue Juventus KOCHA wa zamani wa AC Milan, Arrigo Sacchi amefunguka kwamba anapenda kumwona Zinedine Zidane anarejea Juventus.
Zubimendi afichua alivyotua Arsenal, amtaja Arteta KIUNGO, Martin Zubimendi amefichua kwamba simu moja tu aliyopigiwa na kocha Mikel Arteta ilimfanya ashawishike na kwenda kujiunga na Arsenal kwenye uhamisho wa dirisha lililopita.
Kwa Amorim chochote kinatokea MAMBO ni moto. Ligi Kuu mbalimbali zimesimama kupisha mechi za kimataifa, lakini kipindi hiki kimekuwa cha presha kubwa kwa kocha Ruben Amorim juu ya usalama wa kibarua chake huko Manchester United.
Barca yaamua jambo kwa Lewandowski, Milan yatajwa BARCELONA haina mpango wa kumsainisha mkataba mpya mshambuliaji wake wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, mwenye umri wa miaka 37 ambaye anawindwa na AC Milan.
Kocha wa EPL afikishwa mahakamani, matatani kufilisiwa Aliyekuwa kocha wa timu ya Ligi Kuu ya England (EPL), Iain Dowie mwenye umri wa miaka 60, anakabiliwa na uwezekano wa kufilisika baada ya kufikishwa mahakamani na mamlaka ya kodi (HMRC).
Kumbe Cunha alimbembelza Antony asiondoke WINGA wa Real Betis, Antony amefichua kwamba Mbrazili mwenzake, Matheus Cunha alimbebeleza sana kumtaka abaki Old Trafford kabla ya kufanya uamuzi wa kutimkia Hispania.