Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8025 results for Mwandishi Wetu :

  1. Cape Verde yafuzu Kombe la Dunia, Arajiga akisimama kati

    Cape Verde limekuwa taifa la sita Afrika kukata tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo, Oktoba 13, 2025 kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Eswatini.

  2. Roman Folz aletewa msaidizi, aanza kazi

    Klabu ya Yanga, imemtangaza Patrick Mabedi raia wa Malawi kuwa kocha msaidizi wa kikosi hicho kinachoongozwa na Mjerumani, Romain Folz.

  3. Mazraoui kuwavaa Liverpool, Martinez mwezi ujao

    TATIZO la majeruhi kwenye kikosi cha Manchester United bado linamsumbua kocha Ruben Amorim huku likimtishia kwenye upangaji wa timu yake kwenye mechi.

    MAZROUI Pict
  4. Balotelli atangaza kurudi kwenye soka

    STRAIKA wa zamani wa AC Milan na Inter Milan, Mario Balotelli amesema yupo tayari kurejea kwenye soka.

    BALOTELI Pict
  5. Arrigo Sacchi amtaka Zidane atue Juventus

    KOCHA wa zamani wa AC Milan, Arrigo Sacchi amefunguka kwamba anapenda kumwona Zinedine Zidane anarejea Juventus.

    ARRIGO Pict
  6. Zubimendi afichua alivyotua Arsenal, amtaja Arteta

    KIUNGO, Martin Zubimendi amefichua kwamba simu moja tu aliyopigiwa na kocha Mikel Arteta ilimfanya ashawishike na kwenda kujiunga na Arsenal kwenye uhamisho wa dirisha lililopita.

    ZUBIMKENDI Pict
  7. Kwa Amorim chochote kinatokea

    MAMBO ni moto. Ligi Kuu mbalimbali zimesimama kupisha mechi za kimataifa, lakini kipindi hiki kimekuwa cha presha kubwa kwa kocha Ruben Amorim juu ya usalama wa kibarua chake huko Manchester United.

    AMORIM Pict
  8. Barca yaamua jambo kwa Lewandowski, Milan yatajwa

    BARCELONA haina mpango wa kumsainisha mkataba mpya mshambuliaji wake wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, mwenye umri wa miaka 37 ambaye anawindwa na AC Milan.

    FUNUNU Pict
  9. Kocha wa EPL afikishwa mahakamani, matatani kufilisiwa

    Aliyekuwa kocha wa timu ya Ligi Kuu ya England (EPL), Iain Dowie mwenye umri wa miaka 60, anakabiliwa na uwezekano wa kufilisika baada ya kufikishwa mahakamani na mamlaka ya kodi (HMRC).

  10. Kumbe Cunha alimbembelza Antony asiondoke

    WINGA wa Real Betis, Antony amefichua kwamba Mbrazili mwenzake, Matheus Cunha alimbebeleza sana kumtaka abaki Old Trafford kabla ya kufanya uamuzi wa kutimkia Hispania.

    ANTONY Pict
Previous

Page 301 of 803

Next