Gor Mahia yaaibishwa nyumbani, yapigwa 4-1 MABINGWA wa zamani wa Kenya, Gor Mahia wametiwa aibu nyumbani jioni hii baada ya kufumuliwa kwa mabao 4-1 na A.P.S Bomet katika mechi ya Ligi Kuu (KPL).
Amorim: Kwa timu hii, bado sana! KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekiri kikosi chake hakipo hata karibu kufikia kiwango kinachopaswa kuwa nacho kwa sasa.
Ni hivi...Vini abaki, Alonso aondoke SIKU chache baada ya kuibuka kwa taarifa Vinicius Jr yupo tayari kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia Real Madrid, ripoti mpya zimefichua staa huyo amegoma kusaini na amewaambia mabosi wa...
Kocha Spurs bado yupo sana mjini BAADA ya kichapo cha aibu cha mabao 4-1 kutoka kwa mahasimu wao wa London Kaskazini, Arsenal, mashabiki wa Tottenham walikuwa wanataka Kocha Thomas Frank afutwe kazi, lakini mabosi wa miamba hiyo...
Rooney ataka Salah apigwe benchi LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema winga wa Liverpool, Mohamed Salah inatakiwa akae benchi kwa sababu kwa sasa hana msaada katika timu hiyo.
Harry Kane afurahia maisha Bayern, atuma salamu Arsenal Mshambuliaji wa Bayern Munich, Harry Kane, amesema anafurahia majukumu mapya aliyopewa katika kikosi hicho tangu alipotua klabuni hapo msimu uliopita.
Jimmy Cliff afariki dunia akiwa na miaka 81 IKONI wa muziki wa Reggae kutoka Jamaica, Jimmy Cliff, afariki dunia jana akiwa na miaka 81.
Mabilionea timu wanazo, hela wanazo STEVE Ballmer wa Los Angeles Clippers kwa mara nyingine tena anaongoza orodha ya mabilionea 25 wanaomiliki timu za michezo mbalimbali duniani wakiwa na jumla ya ukwasi wa thamani ya Dola 607...
KMC, Mtibwa Ligi Kuu Bara ngoja tuone! NA leo tena! Ndivyo unavyoweza kusema wakati KMC iliyotoka kupasuka nyumbani katika mechi iliyopita mbele ya maafande wa JKT Tanzania, leo itashuka tena uwanjani kuvaana na Mtibwa Sugar...
UNA USINGIZI? Fahamu mashindano ya kulala duniani HAKUNA taarifa kamili juu ya wapi rasmi yalipoanzia ingawa ripoti nyingi zinaeleza yalianzia Uholanzi mwaka 2010 katika siku ya maadhimisho ya kulala duniani.