Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

973 results for Oscar Oscar :

  1. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Filamu ya Bernard Morrison

    LABDA inaweza kuja kushindana na ile Isidingo ya Wasauzi kwa urefu. Baada ya kutazamwa katika nchi 103 dunia nzima Isidingo ilifika mwisho wa Machi ya 2020 ikiwa ni miaka 22 tangu ianze...

  2. Mpole amuacha Mayele, Geita Gold ikipaa tatu bora

    eneo sahihi na kukunjua shuti lililomshinda Kipa Hamad Kadedi. Hata hivyo Mbeya Kwanza walipambana kusawazisha lakini mabeki wa Geita Gold walikuwa imara kudhibiti hatari zote zilizolenga lao lao...

  3. Luhende aimaliza Prisons Sokoine, mashabiki hoi

    kupata bao lakini Kipa Abel alionesha ushujaa wake kwa kuokoa michomo kadhaa hadi timu zote zinaenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa Prisons kwa kufanya mabadiliko kwa kuwatoa Athanas...

  4. MASTORI YA OSCAR: Mwana FA atatoboa?

    MARA nyingi sana nimekuwa nikimfananisha mwanamuziki Hamisi Mwinjuma na mwanasoka Andres Iniesta. Kwa nini? MwanaFA sio msanii anayetoa nyimbo mara kwa mara lakini kila akitoa wimbo wake huwa ni...

  5. MASTORI YA OSCAR: Ali Kiba na Messi, Diamondi na Ronaldo

    UBISHI wa nani mchezaji bora kati ya Pele na Maradona, walibishana sana wazazi wetu na mwishowe waliuacha bila kupata jibu sahihi. Sio vibaya kuwajadili na sio vibaya kupishana mtazamo. Wapo...

  6. Fountain yaendeleza uteja kwa Simba Queens

    Dodoma. Fountain Gate Princess imekubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa Simba Queens katika mchezo wa Ligi kuu ya Wanawake (WPL) kipute kilichofanyika leo katika uwanja wa Fountain Gate Arena...

  7. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Simba wanarudi vichwa juu, kipi kinafuata?

    KAZI ilionekana imekwisha kwa Simba pale mwamuzi Bernard Camill kutoka Shelisheli alipoenda pembeni kutazama ‘screen’ za usaidizi kujiridhisha kama kosa la Chris Mugalu lilistahili adhabu ya kadi...

  8. Kikipigwa hapa atapasuka mtu

    IKITOKEA ikapigwa mechi kati ya wachezaji wazawa wazoefu na wanaokuja kwa kasi, inaweza ikawa ya kiufundi zaidi na ushindani wa aina yake.

  9. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Yaliyonishtua mechi ya Mnyama, Wazulu kwa Mkapa

    KWANZA matokeo! Yalinishtua? Lazima jibu langu liwe hapana. Ningeshtuka kama Simba wangeshinda kwa idadi kubwa ya mabao, labda kama tatu au nne lakini Ushindi wa moja bila nyumbani haushitui.

  10. Prisons yakusanya tatu nyingine kwa Wagosi wakaya

    Mdogo mdogo. Ndivyo unaweza kusema baada ya leo tena Tanzania Prisons kuondoka na alama tatu muhimu kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union kwenye uwanja wa Sokoine jiji hapa.

Previous

Page 31 of 98

Next