Watanzania 90 wanufaika na kampeni Kombe la Dunia 2026 KAMPUNI ya huduma za fedha kidijitali Mixx imetangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni...
Doumbia sasa ni rasmi Simba KLABU ya Simba, imeinasa saini ya mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka AS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili.
Defoe atimka baada ya miezi minne tu NYOTA wa zamani wa England, Jermain Defoe, ameondoka katika klabu ya Woking inayoshiriki National League baada ya kukaa madarakani kwa miezi minne pekee.
Bounemouth yakataa ofa nono ya Chelsea Bournemouth imekataa ofa ya pauni 64 milioni iliyowasilishwa na Chelsea kwa ajili ya kumsajili kiungo Alex Scott.
Dili la Guimaraes lakaribia ARSENAL ipo tayari kuwasilisha ofa ya pauni milioni 70 muda wowote kwa ajili ya nahodha wa Newcastle United, Bruno Guimaraes.
Anderson achimba mkwara akitua Etihad MANCHESTER City imetangaza rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa England, Elliot Anderson, kutoka Nottingham Forest kwa ada ya pauni 116 milioni.
Barcelona yampa pigo Rashford BARCELONA imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi, kwa ada inayoweza kufikia euro milioni 31 (pauni milioni 26.5).
Tanzania yaanza kupigania medali Jumuiya ya Madola TIMU ya ngumi ya ridhaa ya Tanzania, leo itaanza safari ya kutafuta medali katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ya mwaka 2026, ambapo mabondia watatu wataingia ulingoni katika ukumbi wa Scottish...
Wikiendi ya ngumi: Fury, Joshua kukiwasha MABONDIA wenye hadhi ya juu duniani wataingia ulingoni leo na kesho kwa Tyson Fury, Anthony Joshua, Tim Tszyu na Errol Spence Jr watashuka ulingoni katika mapambano yanayosubiriwa kwa hamu.