England kutumia AI kupiga penalty Kombe la Dunia Timu ya taifa ya England katika kuhakikisha inafanya vizuri katika Kombe la Dunia imeweka nguvu kubwa katika matumizi ya akili mnemba(AI) kuanzia upigaji wa penalti, kufuatilia ustawi wa...
Ciro Messi aiga ustadi wa baba yake MTOTO wa staa wa Inter Miami, Lionel Messi mwenye umri wa miaka sita, Ciro, ameonekana kuiga mtindo wa baba yake kwa kufunga bao la kuvutia katika mchezo wa akademi ya timu hiyo ya baba'ke.
Aliyetajwa nyota ajaye Soton afariki kiutata ALIYEWAHI kutajwa kama mmoja wa vipaji vinavyochipukia katika mfumo wa vijana wa Southampton, Victor Udoh, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 21 katika mazingira yanayoelezwa kuwa ya...
Bosi Nottingham azichapa na mpwa wa Waziri Mkuu BOSI kubwa mmiliki wa Nottingham Forest, Evangelos Marinakis, ameripotiwa kuhusika katika ugomvi uliotokea kwenye mchezo wa fainali ya Ligi ya Kikapu Ulaya (EuroLeague), kati ya Olympiacos na...
Arsenal yakoleza moto kumng'oa Rogers Villa SIKU chache baada ya kutangazwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal, wameendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha kwamba wanainasa saini ya kiungo-mshambuliaji wa Aston Villa, Morgan...
Uholanzi mastaa kibao, ndo kwanza wanasaka taji la kwanza World Cup KWA zaidi ya nusu karne sasa, timu ya taifa ya Uholanzi imeendelea kubeba hadhi ya kuwa moja ya timu bora zaidi kuwahi kucheza soka duniani bila kunyanyua Kombe la Dunia.
Waliocheza Kombe la Dunia na umri mdogo NI kina nani waliokuwa wachezaji wenye umri mdogo zaidi kuwahi kucheza katika historia ya Kombe la Dunia? Hapa tunaangazia wachezaji 10 wadogo zaidi kuwahi kushiriki michuano hiyo.
Kikosi bora cha msimu Ligi Kuu England 2025-26 LIGI Kuu England (EPL) ilimalizika mwishoni mwa wiki iliyopita, lakini kwa sasa kinachoendelea ni juu ya mambo yaliyojiri wakati mchuano wa kusaka taji hilo unaendelea, huku namba za wachezaji...
Saba wajinyakulia zawadi kampeni ya MIXX Kombe la Dunia WAKATI hamasa ya michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea kushika kasi huku mataifa mbalimbali yakitangaza vikosi vyao vya mwisho neema imeendelea kuwa upande wa wadau na mashabiki wa soka nchini.