Simba yafunika nyota Stars Nyota wa simba walioitwa kwenye kikosi hicho ni kipa Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Erasto Nyoni, Jonas Mkude na John Bocco.
VIDEO: Amunike aita nyota 39 Taifa Stars, Kelvin ‘Mbappe’, Ajib, Banda ndani Amunike ametangaza orodha ya wachezaji 39 kwaajili ya kujiandaa na mashindano ya Afcon na Chan yatakayofanyika mwaka huu.
Mabao yaliyozua furaha na uchungu TPL RAHA ya mechi bao wala usibishe. Mpaka sasa mambo yanazidi kunoga Ligi Kuu Tanzania Bara huku mabao ya maana yakifungwa na Yanga ikiwa kinara katika msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 67 baada...
VIDEO: Kocha Amunike afanya mabadiliko Taifa Stars Katika kikosi hiko Amunike amefanya mabadiliko kwa kuwatoa nyota waliokuwa katika kikosi hiko na kuingiza wengine ili kuweza Amunike amemuondoa kikosini Beno Kakolanya ambaye yupo nje ya uwanja...
Kikosi cha Stars hiki hapa! Banda, Kakolanya, Ajib out! Kikosi cha Stars kitaingia kambini March 17 na kuanza mazoezi March 18. Banda, Kakolanya, Nyoni watoswa Stars
Cheki jinsi Simba SC ilivyoipiga bao Yanga SIMBA noma sana, kwani unaambiwa mipango yao ya kunasa mkwanja haijaanza leo.
UTATU TISHIO : Hawakuachi salama, usiombe ukutane nao RAHA ya mechi bao, asikwambie mtu. Soka safi inahusisha mambo mengi ukianza na ufundi, burudani, mbwembwe na mambo kibao, yote tisa kumi, soka safi bila mabao, ni kazi bure!
Makambo atupia usiku Yanga yaichapa Ruvu Shooting Yanga imeendeleza rekodi yake ya kutokufungwa katika Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichakaza Ruvu Shooting kwa mabao 3-2.
Ujio wa Boban Yanga, Simba ijiandae kupapaswa Mchezaji anapokosa bao la wazi ndani ya kisanduku cha sita, kuna la kujifunza, anapokwatuliwa au kumkwatua mwenzake, kuna unalojifunza na zaidi ya yote hata wanapotolewa nje na kuingizwa...
Kwa wachezaji hawa Yanga haiwezi kusajili Yanga inajumla ya wachezaji 29 baada ya Emmanuel Martin kumaliza mkataba wake na kujiunga na Ruvu Shooting na bado inausishwa kusajili baadhi ya nyota dirisha hili la usajili linalotarajiwa...