PRIME NYUMA YA PAZIA: Unamkumbuka Oscar? Amerudi nyumbani na akaunti ya Bakhresa UNAMKUMBUKA Oscar Dos Santos Emboaba? Tulimjua kwa jina moja tu la Oscar. Wakati mwingine Wabrazil wanatushangaza kwa kuwa na majina ambayo huwa hatukudhania kwamba wangeweza kuwa nayo.
Mbeya Kwanza yaanza na watatu KATIKA kuhakikisha Mbeya Kwanza inafanya vizuri ili kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, mabosi wa timu hiyo wameanza kuimarisha kikosi hicho kwenye dirisha hili dogo la usajili,...
Yanga v Tanzania Prisons... Kwani nyie mnatakaje? NI siku nyingine tena mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC inashuka dimbani kukabiliana na Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi hiyo inayokaribia kufika ukingoni mwa duru la kwanza.
PRIME Yanga ina dakika 270 tu CAFCL YANGA imesaliwa na dakika 270 za kufa au kupona kama inataka kwenda robo fainali kutoka Kundi A ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya jana kuambulia pointi moja dakika za jioni baada ya mtokea...
Dube aikoa Yanga jioni, ikipata pointi moja ugenini BAO la dakika za jioni lililowekwa kimiani na mshambuliaji aliyetokea benchi, Prince Dube imeiokoa Yanga isife ugenini jijini Lubumbashi, DR Congo baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya...
Madrid yapanga jambo dili la Alphonso Davies REAL Madrid huenda ikaachana na mpango wa kutaka kumsajili beki wa kushoto wa Bayern Munich na Canada, Alphonso Davies, ²4, baada ya kuona staa huyo anachelewa kufanya uamuzi kama atajiunga nao...
Real Madrid haitaki utani, yatua kwa Cole Palmer Palmer ambaye amekuwa katika kiwango bora tangu ajiunge na Chelsea katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka jana, mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwaka 2033.
PRIME Kagoma aibuka, avunja ukimya ishu ya Simba YUSUPH Kagoma ndilo jina linalotajwa sana kwenye mitandao ya kijamii hivi sasa na hii ni baada ya staa huyo wa Simba kufuta utambulisho wake na timu hiyo kwenye mtandao wake wa kijamii 'Instagram'.
Mwakinyo, Kalolo walivyosepa na milioni 10 za Rais Samia WIKIENDI iliopita kutoka Novemba 15 hadi 16, mwaka huu ilikuwa ya moto katika mchezo wa ngumi za kulipwa nchini kutoka na kufanyika mapambano matatu makubwa huku mawili yakifanyika ndani ya siku...
Majanga Ligi Kuu England HALI ya majeraha kwa timu za Ligi Kuu England imeendelea kuwa mbaya siku hadi siku huku chama cha wachezaji wa soka la kulipwa kikidai idadi kubwa ya mechi ni janga linalosababisha hali hiyo.