Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1172 results for Charles Abel :

  1. PRIME Simba yaonyesha ukubwa Morocco

    SIMBA haijasafiri kinyonge kutoka Dar es Salaam kuja hapa Casablanca, Morocco ambako itakaa kwa muda kisha kwenda Berkane ambako Jumamosi ya Mei 17, 2025 itashuka Uwanja wa Manispaa ya mji wa...

  2. VIDEO: Shangwe zateka msafara wa Simba, yatua Morocco

    Simba imewasili Casablanca, Morocco alfajiri ya leo saa 10:20 hapa ikiwa ni saa 1:20 kwa saa za Tanzania.

  3. Simba ubingwa Shirikisho Afrika unawezekana

    Jumamosi wiki hii, Mei 17, wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wanatupa karata katika mechi ya kwanza ya hatua ya fainali ya mashindano hayo msimu huu.

  4. AKILI ZA KIJIWENI: Yanga haimdai chochote Hamdi

    MSIMU utamalizika Juni baada ya mabadiliko ya ratiba yaliyofanywa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) hivi karibuni na mechi za mwisho za Ligi Kuu zitachezwa Juni 22.

    HAMDI Pict
  5. AKILI ZA KIJIWENI: JKT Queens ikimshusha Simba Queens sijui

    KABLA ya mechi ya mechi ya jana ya Ligi Kuu ya Wanawake ambayo JKT Queens ilikuwa nyumbani dhidi ya Simba Queens, maafande hao walikuwa wanaongoza msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 38.

    JKT Pict
  6. AKILI ZA KIJIWENI: Waziri Palamagamba Kabudi kweli Profesa

    JANA Jumatano, kundi lote hapa kijiweni tulikuwa tumekusanyana kusikia na kuona Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi akisoma hotuba ya...

    HAMDI Pict
  7. Dabi ya Kariakoo yapangiwa tarehe, kupigwa Juni 15 Kwa Mkapa

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga mechi ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu baina ya Yanga na Simba ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Jumapili Juni 15, 2025.

  8. PRIME Huyu ndiye aliyeamua shauri la Yanga CAS

    Jana Alhamisi, Mei Mosi, Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ilitoa taarifa ya kufuta na kutoendelea na shauri lililofunguliwa na Yanga kuhusu mchezo wake wa mzunguko wa pili wa...

  9. AKILI ZA KIJIWENI: Pawasa kafanikiwa bado Aggrey Morris

    HAPA kijiweni tumefuatilia kwa ukaribu muenendo wa timu zetu mbili tofauti za vijana za wanaume ambazo zilikuwa na kibarua cha kushiriki mashindano ya umri wao yanayosimamiwa na Shirikisho la...

    PAWASA Pict
  10. AKILI ZA KIJIWENI: Tuwaache Azam FC waendeshe timu yao

    BAADA ya Azam FC kutolewa kwenye Kombe la Muungano, watu wanaishambulia sana kwa maneno haipo siriazi, kwa nini inatolewa katika mashindano kama hayo na timu kama JKU.

    AZAM Pict
Previous

Page 4 of 118

Next