Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8017 results for Mwandishi Wetu :

  1. Siri imefichuka! Matajiri Saudia wamshawishi Beckham dili la kuinunua Man United

    Gwiji wa Manchester United, David Beckham amependekezwa kushirikiana na kundi la mabilionea kutoka UAE (Falme za Kiarabu) ambao wanapanga kuwasilisha ofa ya kuinunua klabu ya klabu hiyo, kwa...

    BECKHAM Pict
  2. Amorim aanika mbinu atakayoitumia dhidi ya Liverpool

    Hatimaye Kocha wa Man United, Ruben Amorim amekiri kujipanga kutumia mfumo mpya wa mipira mirefu katika mechi za Ligi Kuu ya England, baada ya kuwaambia wachezaji wake wamekosa makali, hivyo...

    MAN UTD Pict
  3. Arteta amwagia sifa Leandro Trossard, aisubiri Atletico Madrid

    Kocha mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta amempongeza Leandro Trossard kwa kitendo cha kuisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi muhimu dhidi ya Fulham, kwenye mechi ya jana Jumamosi, Oktoba 19, 2025.

    ARTETA Pict
  4. Amorim atangaza msimamo ishu ya Kobbie Mainoo, Joshua Zirkzee

    Kocha Mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amezima uvumi unaodai kuwa wachezaji Kobbie Mainoo na Joshua Zirkzee wanaweza kuondoka kwenye klabu hiyo ya Old Trafford, Januari 2026.

    AMORIM Pict
  5. Gazza asimulia alivyorudi duniani kutoka kuzimu

    GWIJI wa soka nchini England, Paul John Gascoigne maarufu Gazza, amefichua alivyorudi duniani kutoka kuzimu baada ya kufa akiwa kwenye kitanda cha upasuaji alipokuwa katika koma ya muda ya siku 18.

    GAZA Pict
  6. Yanga yamvunjia mkataba Folz, Mabedi achukua mikoba

    Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja rasmi mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Romain Folz, ambaye amejiunga na timu hiyo mwanzo wa msimu.

  7. Yanga yapigwa ugenini, Folz aacha maswali kibao

    DAKIKA tisini za ugenini kwa Yanga leo Oktoba 18, 2025 zimekuwa ngumu baada ya kupokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao, Silver Strikers ikiwa ni mechi ya mkondo wa kwanza Ligi ya...

  8. Kipigo dhidi ya Chelsea chamfukuzisha kocha Nottingham Forest

    DAKIKA 19 baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa leo, Jumamosi Oktoba 18, 2025, Nottingham Forest imeamua kumfukuza kazi kocha wake, Ange...

  9. Palace yakubali kwa Guehi, Barca, Madrid zatajwa

    CRYSTAL Palace inajiandaa kumuuza beki wake wa kati wa kimataifa wa England, Marc Guehi dirisha lijalo la majira ya baridi.

  10. Pogba, Monaco mambo yanazidi kuwa magumu

    KIUNGO Paul Pogba bado hajacheza mechi yoyote kwenye klabu yake mpya huko AS Monaoc, lakini huenda asipate kabisa nafasi ya kucheza chini ya kocha aliyemnunua huko Stade Louis II.

Previous

Page 293 of 802

Next