Kipigo dhidi ya Chelsea chamfukuzisha kocha Nottingham Forest
DAKIKA 19 baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa leo, Jumamosi Oktoba 18, 2025, Nottingham Forest imeamua kumfukuza kazi kocha wake, Ange...