Ronaldo azungumza kwa mara ya kwanza ishu ya kustaafu GWIJI wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amekiri kwa mara ya kwanza kuwa mwisho wa safari yake ya soka umeanza kukaribia, huku akisisitiza kuwa bado anafurahia kila dakika anayocheza uwanjani.
Neymar achagua timu mbili fainali Kombe la Dunia 2026 MSHAMBULIAJI wa Santos na Brazil, Neymar Jr amechagua nchi mbili ambazo angependa kucheza nazo katika fainali ya Kombe la Dunia 2026, ingawa hadi sasa hana uhakika wa kuchaguliwa kwenye kikosi...
Rudiger atuhumiwa kumpiga Alvaro Carreras mazoezini HALI ya sintofahamu ndani ya Real Madrid imezidi kuwa mbaya baada ya kufichuliwa kwa jina la mchezaji aliyedaiwa kupigwa na beki Antonio Rudiger katika ugomvi uliotokea mazoezini.
Jezi mpya Man United kuzinduliwa wiki ijayo MANCHESTER United inatarajiwa kuvaa jezi yao mpya ya nyumbani ya msimu ujao katika mechi mbili za mwisho za msimu huu dhidi ya Nottingham Forest na Brighton.
Valverde azichapa na Tchouameni, akimbizwa hospitali KLABU ya Real Madrid imeingia kwenye msukosuko baada ya kiungo wao nyota, Federico Valverde, kukimbizwa hospitali kufuatia mapigano ya mara ya pili ndani ya uwanja wa mazoezi na mchezaji...
Cristiano Ronaldo akerwa na kelele “Messi, Messi” Saudia SUPASTAA wa Al Nassr, Cristiano Ronaldo (CR7) alipata wakati mgumu kukabiliana na mashabiki walioanza kuimba jina la Lionel Messi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Saudi Arabia dhidi ya Al-Shabab, jana.
Zizou, Beckham ndani ya tangazo Kombe la Dunia 2026 ADIDAS wameingia Hollywood baada ya kuzindua tangazo la thamani ya zaidi ya Pauni 50 milioni kwa ajili ya Kombe la Dunia litakalofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11, mwaka huu.
Carragher ataka watatu Liverpool NYOTA wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher ametoa wito kwa klabu hiyo kubadili mkakati wake wa usajili na kurejea katika mfumo uliowaletea mafanikio hapo awali, kufuatia kipigo cha mabao 3-2...
Nafasi ya dhahabu kwa Arsenal, Man City yaanza kupumulia mashine ARSENAL sasa washindwe wenyewe. Wagonga Nyundo hao wa London wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) msimu huu baada ya mpinzani wao wa karibu, Manchester City kutoka sare...
Mshauri wa Trump ataka Iran iondolewe Kombe la Dunia 2026 MSHAURI wa ngazi za juu wa Rais wa Marekani, Donald Trump ameripotiwa kuiomba FIFA kuiondoa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia na kuipa nafasi hiyo Italia kutokana na...