Makonda aihakikishia FIFA ushirikiano katika michezo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo...
Ukonga Kings imerudi Ligi ya Kikapu Dar TIMU ya Ukonga Kings imerejea katika Ligi Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifumua Magone kwa mechi 2-0 katika nusu fainali ya Ligi Daraja la Kwanza, na hivyo kujihakikishia nafasi...
Misri ya Salah yatinga robo fainali Afcon 2025 MISRI imefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kufunga mabao mawili katika muda wa ziada, likiwemo moja kutoka kwa Mohamed Salah, na hivyo kuichapa Benin...
FERWAFA yasitisha mkataba wa Adel Amrouche Baada ya kuinoa timu ya taifa ya Rwanda 'Amavubi' kwa miezi 10, Kocha Adel Amrouche ameondolewa katika kibarua hicho na Shirikisho la Mpira wa Miguu Rwanda (FERWAFA) jana, Jumanne, Januari 13, 2025.
Bao la jioni laisukuma DR Congo nje Afcon BAO la Adil Boulbina alilofunga dakika za mwisho za muda wa nyongeza lilitosha kuamua mechi ngumu dhidi ya DR Congo na kuifanya Algeria kufuzu kwenda robo fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika...
Gabriel Martinelli amwomba radhi Bradley WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amemwomba radhi Conor Bradley kutokana na jaribio lake la kumsukuma beki huyo wa Liverpool ili atoke nje ya uwanja wakati alipokuwa ameumia.
Enrique agomea mkataba mpya PSG KOCHA, Luis Enrique ameripotiwa kwamba ataachana na Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu baada ya kupuuzia kusaini mkataba mpya.
Haaland aomba radhi kipigo Man City STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo baada ya kupoteza kwa aibu kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya timu ndogo ya Bodoe/Glimt usiku wa Jumanne.
Joshua afunguka kwa mara ya kwanza BONDIA raia wa England, Anthony Joshua ameposti kwenye mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza tangu alipopata ajali ya gari iliyoua marafiki wake wawili wa karibu nchini Nigeria.