Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8016 results for Mwandishi Wetu :

  1. Kocha Liverpool afichua kilichomsibu Alexander Isak 

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot amefichua sababu za mshambuliaji Alexander Isak kushindwa kuendelea na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Eintracht Frankfurt ya Ujerumani iliyokubali kipigi...

    ISAK Pict
  2. Arsene Wenger aitabiria ubingwa Arsenal

    Aliyekuwa Kocha wa Arsenal, Arsène Wenger, amesema msimu huu 2025-2026 anaona tofauti kubwa kwenye kikosi cha klabu hiyo kinachoongozwa na kocha Mikel Arteta, na huenda mambo yakawanyookea kwa...

    ARSENAL Pict
  3. Jude Bellingham aizamisha Juventus Bernabéu

    Haikuwa mechi ya kuvutia sana, lakini nyimbo zilizotokea Santiago Bernabéu zilikuwa na ladha ya kipekee. Ilikuwa muda mrefu tangu mashabiki wa Real Madrid wapate nafasi ya kuimba “Hey Jude”, na...

  4. Vicario aiokoa Spurs kwa Monaco

    Kipa wa Tottenham Hotspur, Guglielmo Vicario, usiku wa Oktoba 22, 2025 alifanya kazi kubwa kwa kuizuia Monaco, huku kikosi cha Thomas Frank kikinusurika na kupata pointi moja ya Ligi ya Mabingwa.

  5. Vijana wa Chelsea waidhalilisha Ajax

    Chelsea imekuwa timu ya kwanza kwenye historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuwa na wachezaji watatu vijana wenye umri chini ya miaka 20 waliofunga mabao katika mechi moja, baada ya kushinda 5–1...

  6. Ekitike afunga Liverpool ikimaliza ukame wa ushindi kwa kishindo

    Hugo Ekitike amefunga dhidi ya klabu yake ya zamani wakati Liverpool wakiukomesha mwenendo wao mbaya wa kupoteza mechi kwa kishindo, baada ya kutoka nyuma na kuicharaza Eintracht Frankfurt katika...

  7. Rekodi mbili zawekwa Bayern ikiikanda Clube Brugge

    Kuna rekodi mbili zimewekwa katika mechi ambayo Bayern Munich imeikanda Club Brugge mabao 4-0 iliyofanyika Allianz Arena, Ujerumani usiku wa Oktoba 22, 2025.

  8. Athletic yapata ushindi wa kwanza Andre akiandika historia UEFA

    Klabu ya Athletic imetoka nyuma na kuichapa Qarabag mabao 3-1 na kupata ushindi wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu, baada ya kiungo wa Qarabag, Leandro Andrade, kuweka historia...

  9. Osimhen aweka rekodi ya mabao Galatasaray ikiichapa Bodo/Glimt

    Victor Osimhen amefunga mabao mawili na kusaidia lingine wakati Galatasaray ikiendeleza mwenendo mzuri kwa kupata ushindi wa pili mfululizo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bodo/Glimt...

  10. PRIME Hapa Ziyech, pale Aziz Ki kuna kitu kinapikwa Wydad

    SUPASTAA Hakim Ziyech amekubali kujiunga bure na Wydad Casablanca ya Morocco baada ya kutokuwa kwenye timu yoyote kwa kipindi cha miezi mitano.

Previous

Page 286 of 802

Next