Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8613 results for Mwandishi :

  1. Yanga yavuna Sh7 Bilioni za wadhamini kwa mwaka

    KLABU ya Yanga imevuna kiasi cha Sh7 bilioni kwa mwaka kutokana na wadhamini mbalimbali wa timu hiyo.

  2. Azam: Poleni Simba

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wametuma salamu za pole kwa uongozi wa Simba kufuatia kifo cha Zakaria Hans Poppe. Hans Poppe alifariki Dunia jana...

  3. Barbara: Moyo wangu mzito sana

    Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amemlilia Zakaria Hans Poppe aliyefariki Dunia jana usiku katika hospitali ya Aga Khan alipokuwa anapatiwa matibabu. Kupitia Instagram Barbara ameonyesha...

  4. Mbeya City yachangiwa Sh3 milioni kuifunga Kagera Sugar

    Spika wa Bunge la Tanzania Dk Tulia Ackson ametoa Sh2 milioni kwa timu ya Mbeya City ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kuelekea mchezo dhidi ya Kagera Sugar Aprili 23.

  5. Yanga yawavuruga maafande

    Yanga imefanikiwa kumaliza dakika 45 za kipindi cha kwanza ikiongoza kwa mabao mawili dhidi ya maafande JKT Tanzania katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

  6. Simba yamleta fundi Msauzi

    Mabosi wa Simba katika kuhakikisha wanalisuka benchi la ufundi kuwa imara zaidi ya wakati huu baada ya kumtambulisha kocha wa makipa, Chlouha Zakaria muda wowote kuanzia sasa wanamalizana na...

  7. Kisa CAF, Yanga v Namungo zapewa tarehe

    BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga na kutangaza tarehe za kufanyika kwa michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC ambayo hapo awali haikupangiwa tarehe.

  8. Kocha Gomez, Morrison watuma barua Congo

    Mchezo kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Simba umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

  9. Mirambo achukua mikoba ya Kidao TFF

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu.

  10. Yanga yamvunjia mkataba Folz, Mabedi achukua mikoba

    Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja rasmi mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Romain Folz, ambaye amejiunga na timu hiyo mwanzo wa msimu.

Previous

Page 29 of 862

Next