Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8757 results for Mwandishi :

  1. Gyokeres kachagua timu

    STRAIKA, Viktor Gyokeres ameshafanya uamuzi wa kutua kwenye Ligi Kuu England na tayari ameshachagua klabu yake mpya ya kwenda kuitumikia msimu ujao.

  2. Guardiola hashtuki KDB kusakwa Anfield

    BAADA ya kuibuka kwa uvumi Liverpool inafanya mchakato wa kunasa huduma ya Kevin De Bruyne limemuibua kocha wa Manchester City, Pep Guardiola.

  3. Ancelotti atajwa kutua Saudia

    KOCHA wa Real Madrid, Carlo Ancelotti huenda akatimkia Saudi Arabia licha ya hivi karibuni kudaiwa kufikia makubaliano ya kuchukua mikoba ya kuifundisha timu ya taifa ya Brazil.

  4. Arteta: Ili kufuzu fainali UEFA tunahitaji kitu spesho Paris

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema kikosi chake kitahitaji "kufanya jambo la kipekee jijini Paris" iwapo wanataka kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kupoteza mechi ya kwanza ya nusu...

  5. Kocha Man United hataki kujiuzulu

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameweka wazi kwamba hana nia ya kujiuzulu kuifundisha timu hiyo lakini anajua shinikizo litaongezeka ikiwa hatashinda Europa League.

    AMORIM Pict
  6. Sura mpya zinaitaka Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amefichua kuna kundi kubwa la wachezaji bora ambao wako tayari kujiunga nao licha ya timu yao kutofanya vizuri kwenye Ligi Kuu England msimu huu.

    SURA Pict
  7. Rudiger anukia kupewa kibano

    BEKI kisiki wa Real Madrid, Antonio Rudiger inadaiwa atakutana na adhabu kubwa kwa kumtupia barafu mwamuzi kwenye mchezo wa fainali ya Copa del Rey dhidi ya Barcelona ambao ulimalizika kwa Madrid...

    RUDIGAR Pict
  8. Hawa wameoga tu, mjini hawaendi

    BAADA ya kutangazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England jana, moja kati ya mtihani mwingine ambao unawakabili Liverpool kwa sasa ni kuamua nani atavaa medali na nani hatovaa.

    WAMEOGA Pict
  9. Fountain Gate yaizima Stand United kwao

    Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo uliojaza mashabiki wengi. Fountain imefika hapa...

    SHY Pict
  10. Cunha afika wa kwanza mazoezini Man United

    STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amedhamiria kumshawishi kocha Ruben Amorim katika siku yake ya kwanza ya ‘pre-season’ huko Carrington, Jumatatu.

Previous

Page 267 of 876

Next