Arteta: Ili kufuzu fainali UEFA tunahitaji kitu spesho Paris
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema kikosi chake kitahitaji "kufanya jambo la kipekee jijini Paris" iwapo wanataka kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kupoteza mechi ya kwanza ya nusu...