Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8755 results for Mwandishi :

  1. Man United kufanya tena mabadiliko

    MKUU wa masuala ya mpira wa miguu wa Manchester United, Dave Brailsford anatarajiwa kujiondoa katika nafasi hiyo ikiwa ni sehemu ya mabadiliko makubwa yanayofanywa na tajiri wa timu hiyo Sir...

    MABADILIKO Pict
  2. Man United yaondoa jezi za mawinga sokoni

    HABARI ndo hiyo. Manchester United imeziondoa sokoni jezi za mawinga wake Jadon Sancho na Antony sasa na kuziweka kando kwenye tovuti ya klabu hiyo.

    MAWINGA Pict
  3. De Bruyne hana maneno mengi

    KIUNGO Kevin De Bruyne ametoa ujumbe wake wa maneno machache baada ya kukamilisha uhamisho wake wa bure kutoka Manchester City kwenda Napoli.

    KDB Pict
  4. Gyokeres awakataa mabosi Sporting Lisbon

    STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa ombi la kufanya mazungumzo na viongozi wa timu yake huku sakata lake la uhamisho likizidi kuchukua suta mpya.

    GYOKERES Pict
  5. Ufunguzi CHAN kufanyika Kwa Mkapa, fainali kupigwa Kenya

    Taarifa iliyotolewa na CAF leo imeeleza kuwa hafla ya uzinduzi wa fainali hizo itafanyika Jumamosi, Agosti 2 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

  6. Arsenal walia ratiba yao kimeo

    MASHABIKI wa Arsenal wametania kwamba ratiba ya mechi zao sita za kwanza kwenye Ligi Kuu England msimu ujao ni ya “hujuma”.

    ARSENAL Pict
  7. Zubimendi ni suala la muda tu Arsenal

    KIUNGO wa Kihispaniola, Martin Zubimendi ameripotiwa kutua London kwenda kukamilisha mpango wake wa kujiunga na Arsenal kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.

    ZUBIMENDI Pict
  8. Alexander Isak amweka mtegoni Arne Slot

    LIVERPOOL itapenda kuendelea kufungua pochi dirisha hili la majira ya kiangazi huku mpango wao ni kunasa huduma ya straika Alexander Isak lakini dili hilo litawaingiza kwenye matatizo makubwa.

    ISAK Pict
  9. Arsenal yapata mrithi wa Partey

    ARSENAL imefanikiwa kufikia makubaliano ya kumsajili kapteni wa Brentford, Christian Norgaard, kwa ada ya pauni 10 milioni pamoja na nyongeza ya hadi Pauni 5 milioni, ili akawe mbadala wa kiungo...

    PARTEY Pict
  10. Duh! Eto’o amgonga Geremi nyundo tano

    STAA wa zamani wa Chelsea, Geremi Njitap amekumbana na nyundo ya kufungiwa soka miaka mitano huko Cameroon baada ya kutibuana na mchezaji mwenzake wa zamani, ambaye kwa sasa ni bosi, Samuel Eto’o.

    ETOO Pict
Previous

Page 259 of 876

Next