Man United kufanya tena mabadiliko MKUU wa masuala ya mpira wa miguu wa Manchester United, Dave Brailsford anatarajiwa kujiondoa katika nafasi hiyo ikiwa ni sehemu ya mabadiliko makubwa yanayofanywa na tajiri wa timu hiyo Sir...
Man United yaondoa jezi za mawinga sokoni HABARI ndo hiyo. Manchester United imeziondoa sokoni jezi za mawinga wake Jadon Sancho na Antony sasa na kuziweka kando kwenye tovuti ya klabu hiyo.
De Bruyne hana maneno mengi KIUNGO Kevin De Bruyne ametoa ujumbe wake wa maneno machache baada ya kukamilisha uhamisho wake wa bure kutoka Manchester City kwenda Napoli.
Gyokeres awakataa mabosi Sporting Lisbon STRAIKA wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres amekataa ombi la kufanya mazungumzo na viongozi wa timu yake huku sakata lake la uhamisho likizidi kuchukua suta mpya.
Ufunguzi CHAN kufanyika Kwa Mkapa, fainali kupigwa Kenya Taarifa iliyotolewa na CAF leo imeeleza kuwa hafla ya uzinduzi wa fainali hizo itafanyika Jumamosi, Agosti 2 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Arsenal walia ratiba yao kimeo MASHABIKI wa Arsenal wametania kwamba ratiba ya mechi zao sita za kwanza kwenye Ligi Kuu England msimu ujao ni ya “hujuma”.
Zubimendi ni suala la muda tu Arsenal KIUNGO wa Kihispaniola, Martin Zubimendi ameripotiwa kutua London kwenda kukamilisha mpango wake wa kujiunga na Arsenal kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Alexander Isak amweka mtegoni Arne Slot LIVERPOOL itapenda kuendelea kufungua pochi dirisha hili la majira ya kiangazi huku mpango wao ni kunasa huduma ya straika Alexander Isak lakini dili hilo litawaingiza kwenye matatizo makubwa.
Arsenal yapata mrithi wa Partey ARSENAL imefanikiwa kufikia makubaliano ya kumsajili kapteni wa Brentford, Christian Norgaard, kwa ada ya pauni 10 milioni pamoja na nyongeza ya hadi Pauni 5 milioni, ili akawe mbadala wa kiungo...
Duh! Eto’o amgonga Geremi nyundo tano STAA wa zamani wa Chelsea, Geremi Njitap amekumbana na nyundo ya kufungiwa soka miaka mitano huko Cameroon baada ya kutibuana na mchezaji mwenzake wa zamani, ambaye kwa sasa ni bosi, Samuel Eto’o.