Mpo? Bukayo Saka anawawahi Madrid WINGA supastaa, Bukayo Saka anakimbizana na muda kuwahi kipute cha robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na itakutanisha timu yake ya Arsenal dhidi ya Real Madrid uwanjani Emirates, Aprili 8.
Newcastle waambiwa Isak asiuzwe kokote MABOSI wa Newcastle United wameambiwa wagomee ofa yoyote inayomhusu straika Alexander Isak dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi Ulaya.mba hiyo inapambana kuhakikisha inakamatia tiketi...
Greenwood hali si shwari MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akaondoka katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kocha Roberto de Zerbi kuendelea kutofurahishwa na utendaji kazi wake.
Joe Cole: Bruno Man United wasikuzingue sana LEJENDI wa Chelsea, Joe Cole amemshauri kapteni wa Manchester United, Bruno Fernandes kuachana na timu hiyo katika dirisha lijalo na kujiunga na timu nyingine itakayomwezesha kupata mafanikio zaidi.
Chelsea yasajili wawili kwa mpigo Inaelezwa kuwa Quenda ameigharimu timu hiyo kitita cha pauni 43.7 milioni, huku Essugo yeye akijiunga na Chelsea kwa kitita cha pauni 18.7 milioni.
Lookman anauzwa nje ya Italia KLABU za Ligi Kuu England zitapigana vikumbo kuwania huduma ya mkali wa Atalanta, Ademola Lookman baada ya klabu yake kufichua itakuwa tayari kumpiga bei nje ya Italia dirisha lijalo.
Dili la Arsenal kwa Gyokeres latibuliwa CHELSEA inaripotiwa kuingilia dili la Arsenal kwa straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres iliyehitaji kumsajili katika dirisha hili.
Timu za EPL njia ngumu inazihusu KUELEKEA msimu ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, timu sita za Ligi Kuu England zinatarajiwa kukabiliwa na droo ya kutisha ambapo kila timu itakutana na walau vigogo wawili wa Ulaya.
Ishu ya Rudiger yafanyiwa kazi SHIRIKISHO la kimataifa la vyama vya soka (FIFA) limeanzisha uchunguzi juu ya madai ya beki wa Real Madrid, Antonio Rudiger kufanyiwa ubaguzi wa rangi kwenye mechi ya fainali za Kombe la Dunia la...
Alexander Isak hadi atake yeye! LIVERPOOL na Arsenal zitalazimika kumtaka straika Alexander Isak kufanya uamuzi mwenyewe kama anataka kuachana na Newcastle United kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.