Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8754 results for Mwandishi :

  1. Mpo? Bukayo Saka anawawahi Madrid

    WINGA supastaa, Bukayo Saka anakimbizana na muda kuwahi kipute cha robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na itakutanisha timu yake ya Arsenal dhidi ya Real Madrid uwanjani Emirates, Aprili 8.

  2. Newcastle waambiwa Isak asiuzwe kokote

    MABOSI wa Newcastle United wameambiwa wagomee ofa yoyote inayomhusu straika Alexander Isak dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi Ulaya.mba hiyo inapambana kuhakikisha inakamatia tiketi...

  3. Greenwood hali si shwari

    MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akaondoka katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kocha Roberto de Zerbi kuendelea kutofurahishwa na utendaji kazi wake.

    GREENWOOD Pict
  4. Joe Cole: Bruno Man United wasikuzingue sana

    LEJENDI wa Chelsea, Joe Cole amemshauri kapteni wa Manchester United, Bruno Fernandes kuachana na timu hiyo katika dirisha lijalo na kujiunga na timu nyingine itakayomwezesha kupata mafanikio zaidi.

    COLE Pict
  5. Chelsea yasajili wawili kwa mpigo

    Inaelezwa kuwa Quenda ameigharimu timu hiyo kitita cha pauni 43.7 milioni, huku Essugo yeye akijiunga na Chelsea kwa kitita cha pauni 18.7 milioni.

  6. Lookman anauzwa nje ya Italia

    KLABU za Ligi Kuu England zitapigana vikumbo kuwania huduma ya mkali wa Atalanta, Ademola Lookman baada ya klabu yake kufichua itakuwa tayari kumpiga bei nje ya Italia dirisha lijalo.

    LOOKMAN Pict
  7. Dili la Arsenal kwa Gyokeres latibuliwa

    CHELSEA inaripotiwa kuingilia dili la Arsenal kwa straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres iliyehitaji kumsajili katika dirisha hili.

    GYOKERES Pict
  8. Timu za EPL njia ngumu inazihusu

    KUELEKEA msimu ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, timu sita za Ligi Kuu England zinatarajiwa kukabiliwa na droo ya kutisha ambapo kila timu itakutana na walau vigogo wawili wa Ulaya.

    EPL Pict
  9. Ishu ya Rudiger yafanyiwa kazi

    SHIRIKISHO la kimataifa la vyama vya soka (FIFA) limeanzisha uchunguzi juu ya madai ya beki wa Real Madrid, Antonio Rudiger kufanyiwa ubaguzi wa rangi kwenye mechi ya fainali za Kombe la Dunia la...

    RUDIGAR Pict
  10. Alexander Isak hadi atake yeye!

    LIVERPOOL na Arsenal zitalazimika kumtaka straika Alexander Isak kufanya uamuzi mwenyewe kama anataka kuachana na Newcastle United kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.

    ISAAK Pict
Previous

Page 257 of 876

Next