Mkali Osimhen aipeleka Nigeria nusu fainali Afcon 2025 VICTOR Osimhen na Akor Adams wameunga mabao muhimu kupeleka Nigeria hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 baada ya kuichapa Algeria mabao 2-0.
Mbappe anataka kuikacha Ufaransa akasema anafikiria amefanya uamuzi bora kwa sasa. Taarifa za gazeti la Ufaransa la RMC zimefichua kuwa Mbappe ambaye alipewa taarifa na kocha huyo kabla kwamba hatamjumuisha katika kikosi...
Klopp amtetea beki wa Chelsea Tierney, kuuangalia tena marudio ya picha za video kwenye runinga iliyowekwa uwanjani na kubadilisha uamuzi wake. Licha ya kuwa Liverpool ilitawala katika kipindi cha kwanza, kikosi cha kocha...
Tommy Flavour: Kiba hafi njaa hata asipofanya muziki Nadharia nyingi uibuka linapokuja suala la kuwashindanisha mafahari wawili wa Bongofleva nchini, Alikiba na Diamond. Moja ya nadharia hizo ni ile inayosemwa kuwa Alikiba ni mwanamuziki wakati...
Mkali wa wimbo wa 'Songi songi' kutua Bongo Oktoba 5 waandshi wa habari leo, Alikiba alilolulizwa ni lini haswa ataachia video ya wimbo huo. Mwandishi alienda mbali na kueleza ni wimbo uliopekelewa vizuri lakini watu wanataka kujua lini...
Utamu mechi ya Azam FC vs Yanga Kuelekea mchezo huo, mwandishi anakuletea mambo matano (5) ambayo pengine hukuyafahamu hapo kabla yanayozihusu timu hizo mbili kubwa nchini ambazo zimekuwa zikitikisa katika medani ya soka...
Jose Mourinho asogelea dili matata Madrid WANASEMA kufa kufaana. Na watoto wa uswahilini wana msemo wao, adui yako mwombee njaa. Basi sawa, sema unavyotaka kusema, lakini pengine hayo yote yatakuwa yanafanywa na Jose Mourinho kwa sasa.
Linex afichua ishu yake na Baba Levo kitu ujue kiliwahi kumgusa maisha yake, ndiyo maana anatamani wengine wapige hatua," amesema Linex na kuongeza; "Katika haso zake nilikuwepo na katika haso zangu alikuwepo, hawezi kuacha...
Guardiola: Mambo yameharibika KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri mambo yameharibika katika kikosi chake ikiwa ni siku chache tu baada ya kutabiriwa angejiuzulu nafasi yake kama kocha wa timu hiyo wiki hii.
Sintofahamu mchezaji akiuawa kwa risasi Ghana TUKIO la kuuawa kwa mchezaji wa Berekum Chelsea ya Ghana, Dominic Frimpong baada ya basi la timu hiyo kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi limeibua mjadala wa usalama kwa wachezaji...