Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8749 results for Mwandishi :

  1. JKT Queens yapangwa na TP Mazembe Ligi ya Mabingwa Wanawake

    Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake 2025, JKT Queens, imepangwa Kundi B kwenye mashindano hayo baada ya leo Jumatatu Oktoba 27, 2025 kufanyika droo ya makundi hayo...

  2. Arteta kawa mbogo, awajibu Gary Neville, Jamie Carragher

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amepuuza madai ya wachambuzi waliosema kuwa Arsenal inacheza kwa kusita sita na kusisitiza kwamba falsafa yake ndiyo inayozalisha mashambulizi zaidi katika soka la...

  3. Majeruhi Liverpool, Slot kichwa kinauma

    BAADA ya beki chipukizi Giovanni Leoni kupatwa na majeraha katika mechi ya mashindano ya Carabao dhidi ya Southampton, kocha wa Liverpool, Arne Slot sasa kichwa kinauma.

  4. Jeraha la Palmer tatizo Chelsea

    CHELSEA ipo katika njia panda kuhusu mbinu gani katika kutibu tatizo la nyonga la staa wao Cole Palmer, ambaye kuna njia nyingi ikiwamo upasuaji.

  5. Mjipange! Spurs ikinunuliwa tu, vyuma vinatua

    TOTTENHAM huenda ikashusha mastaa wakubwa na kujenga timu imara ikiwa mpango wa kununuliwa na moja kati ya kampuni za Marekani utakamilika.

    SPURS Pict
  6. Cole Palmer nje wiki mbili

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amethibitisha staa wa timu hiyo, Cole Palmer atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili hadi tatu.

    COLE
  7. Man United, uwanja mpya mipango yaanza kukwama

    MANCHESTER United inadaiwa kuachana na mpango wa awali wa kujenga uwanja wenye paa la kisasa na la aina yake baada ya kukumbana na matatizo makubwa katika ununuzi wa ardhi.

  8. Yanga waishi kibosi Malawi, wafikia kwenye hoteli hii

    Msafara wa Yanga umetua ndani ya ardhi ya Malawi ukiwa na zaidi ya watu 50 ambao unajumuisha wachezaji, maofisa wa benchi la ufundi, viongozi, maofisa, waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa...

  9. Petit: Wirtz? Hana ile thamani buana

    USAJILI wa Liverpool wa staa wa Pauni 116 milioni, Florian Wirtz ameanza vibaya maisha yake huko Anfield, hajafunga wala kuasisti kwenye Ligi Kuu England tangu alipojiunga kutoka Bayer Leverkusen.

    WITZ Pict
  10. Kipigo dhidi ya Chelsea chamfukuzisha kocha Nottingham Forest

    DAKIKA 19 baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa leo, Jumamosi Oktoba 18, 2025, Nottingham Forest imeamua kumfukuza kazi kocha wake, Ange...

Previous

Page 237 of 875

Next