NYUMA YA PAZIA : Mateso ya Neymar yalitabiriwa mwaka 1778
AKUMBUKWE mwandishi maarufu wa Kifaransa, François-Marie Arouet aliyejulikana zaidi kwa jina la Voltaire. Umauti ulimkumba katika Jiji la Paris, Ufaransa, Mei 30, 1778. Alizungumza siku moja...