Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7975 results for Mwandishi Wetu :

  1. Achraf Hakimi akoleza mzuka Morocco ikisaka taji

    NYOTA wa timu ya taifa ya Morocco, anayekipiga Paris Saint-Germain (PSG), Achraf Hakimi amewatia hamasa wachezaji wenzake kwa kuwataka kupambana ili kumaliza ukame wa kubeba ubingwa wa Kombe la...

    HAKIMI PIct
  2. Kocha Chipolopolo azuiwa Afcon 2025, sababu yatajwa

    Siku tatu kabla ya kuanza kwa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huko Morocco, Zambia imepata pigo baada ya Kocha wake Mkuu, Moses Sichone kuzuiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika...

    SICHONE Pict
  3. Salah atabiriwa mabaya AFCON 2025

    HOFU imezidi kuongezeka kwa mashabiki wa soka huko Misri baada ya timu hiyo ya staa wa Liverpool, Mohamed Salah kutabiriwa na kompyuta mpya kuwa itatolewa mapema katika michuano ya mataifa ya...

    SALAH Pict
  4. Roma, Man United hakijaeleweka kwa Joshua Zirkzee

    MANCHESTER United na AS Roma ziko mbali sana kufikia makubaliano ya dili la mshambuliaji raia wa Uholanzi, Joshua Zirkzee, mwenye umri wa miaka 24.

    FUNUNU Pict
  5. Graeme Souness: Manchester United wa kawaida sana

    MCHEZAJI wa zamani wa Liverpool, Graeme Souness amesema kuwa suala la Manchester United kumaliza ndani ya nafasi nne za juu na kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya bado ni ndoto kwani ni timu ya...

    MAN Utd
  6. Victor Mwandike afariki dunia akiacha historia Kariakoo Derby

    Refa mstaafu wa kimataifa wa Tanzania, Victor Mwandike, amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam.

    MWANDIKE Pict
  7. Siri ya Haaland, Jude Old Traford yavuja

    MANCHESTER United ingeweza kuwasajili wachezaji watatu bora zaidi duniani kwa gharama ndogo, lakini badala yake ilitumia fedha nyingi kuwasajili wachezaji wengine ambao kwa sasa wanaonekana kuwa...

    BACK Pict
  8. Mkwanja waongezwa Kombe la Dunia 2026

    SHIRIKISHO la Soka la England pamoja na mashirikisho mengine yatakayoshiriki michuano ya Kombe la Dunia mwakani huko Marekani, Canada na Mexico sasa meno yote nje kutokana na kiasi kikubwa cha...

    MKWANJA Pict
  9. Winga Super Eagles astaafu soka

    NYOTA aliyecheza mechi nyingi zaidi katika historia ya timu ya taifa ya Nigeria, Ahmed Musa ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

    MUSSA Pict
  10. Stars yaenda Morocco kwa matumaini

    KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars kimeagwa rasmi jana kabla ya kuanza safari ya kwenda Morocco katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinazoanza Jumapili, Tanzania...

    STARS Pict
Previous

Page 219 of 798

Next