Kipigo cha Yanga bado kinamtesa Mayanga KIPIGO cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga ugenini, bado kinaendelea kulitesa benchi la ufundi la Mashujaa FC baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kufichua kwamba walifanya makosa ambayo bado...
Dah! Merino atibua hesabu huko Arsenal STAA wa Arsenal, Mikel Merino anatarajiwa kuwa nje ya uwanja muda mrefu kwa jeraha la mguu linalohitaji upasuaji.
Depu aanza kazi, Yanga ikiichapa Mashujaa Depu aliyeingia katika kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Maxi Nzengeli, alianza kwa kupiga pasi iliyozaa bao la Mudathir Yahya katika dakika ya 81.
Zamu ya Kibu Denis kusepa Simba, Waarabu wamwaga mpunga Muda wowote kuanzia sasa, Simba itakamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji Kibu Denis kwenda Al Nasr ya Libya.
Guardiola awatishia nyau Arsenal PEP Guardiola ameapa kuwa Manchester City itaendelea ‘kupumua shingoni mwa Arsenal’ baada ya ushindi wao wa kushangaza wa dakika za mwishoni dhidi ya Liverpool uwanjani Anfield, Jumapili.
Owen Hargreaves: Viungo watatu ni dawa Man United OWEN Hargreaves amesema Michael Carrick hatimaye ametatua tatizo la kiungo la Manchester United, akimsifu Bruno Fernandes kwa kiwango cha ajabu alichokiita ni cha kushtua kabisa.
Rooney: Arteta? Kibarua kigumu GWIJI wa Ligi Kuu England, Wayne Rooney anaamini Mikel Arteta anaweza kufukuzwa kazi iwapo hatafanikiwa kushinda taji la Ligi Kuu England msimu huu.
Virgil van Dijk amtetea Slot BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk amesimama kidete kumlinda kocha anayekosolewa, Arne Slot, akisisitiza licha ya msimu mgumu, Mdachi huyo anastahili kupewa nafasi ya kurejesha mwelekeo.
Duh! Partey apewa kesi mpya ya kubaka KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, amefunguliwa mashtaka mengine ya ubakaji.